Ni kweli wakristo mmekuwa mkifanya juhudi sana kutafuta elimu ya maarifa, lakini kwa upande wa elimu akhera bado hamjaona njia, ni zero na ndo maana mnatumia nyadhifa zenu mlizokabidhiwa serikalini kufanya ufisadi, na kuinyonya nchi.
Mahkama ya kadhi Kenya ,Uganda Zanzibar ipo Tanganyika inashindikana je? Au hizi nchi nilizozitaja zinaongozwa kiislam? Selikari itambue na itoe uwezo wa kisheria kuwapo kwa mahakama hii, kuamua baadhi tu ya mambo yanayowahusu waislam na si kwa watu wengine. Uislam una sheria na taratibu zake...
Unajua maana ya propaganda? Wale jamaa ma radio imani achana nao hakuna mkristo anaweza kujibu hoja zao, wanaongea na wanakupa references, ndiyo maana mnabaki kulalamika eti ni wachochezi jibuni hoja zao basi.
Sikumbuki kama nyinyi mnaojiita wakristo mna masharti ya kuchinja mnachohitaji ni nyama tu, mnataka kuanza kuleta fujo, hayo si madai ya msingi. Nadhani wametumwa hawa, muda wote hamkuliona hili, acheni kujikanyaga, rudini kwa Muhammad, (saw) ndiyo njia ya kufikia uzima wa milele.
Ina maana toka juzi ATM hazijatoa pesa? Mimi naona si tatizo la system bali matatizo mengine tu ya kiufundi. Hizi huduma zinazotegemea stm imekuwa usumbufu hapa Tnz na wahudumu wake wamekuwa waongo, wakitoa majibu ya ovyoovyo kabiza.
Hilo si suala la mashehe bali kila muislam anaejua taratibu za kuchinja anaweza kuchinja. Mnyama yoyote anataka kuchinjwa lazima jina la M/MUNGU (ALLAH) litamkwe na aelekezwe Makka (Kibla) pamoja na mambo mengine. Kama dini nyengine hazizingatii hayo isiwe tabu, tueleweshwe tu tunapofika kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.