Mi naona kama chanzo kikubwa cha mapato ya serikali ni kodi za mishahara yetu haina maana kuniandikia mshahara mkubwa kwenye karatasi. kumbe nusu ya hela inarudi kwao basi wao waniandikie kile wanachotaka kunipa kuliko kunidanganya kwenye karatasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.