mwanakijiji sasa nadhani unapotaka kutupeleka siko kabisaa
Mwanasheria mkuu Zanzibar: Kutokuwepo serikali ya Tanganyika ndio kero kuu ya Muungano!
Awashangaa wanaotaka Zanzibar iendelee kuwa manispaa
Asema kutokuwepo Serikali ya Tanganyika ndio kero Kuu ya Muungano
Awasuta wanaotaka...
nadhani pia unapaswa kujiuliza akina zitto,mbowe,slaa anzi zake bungeni ,na wabunge woooote wa CHALEMA wanapokuwa wanapeleka mijadala ya kitaifa bungeni bila kubagua majimbo walipotoka na ubara uvisiwani huwa inakaaje?? au akilia tausi anaimba vizuri na akilia bundi uchuro? au ni kwa sababu ni...
Nape.unapaswa pia kutuambia waliobaki CCM ni akina nani,hii inaonyesha wazi ya kuwa MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA,kwa hal hii mpaka mwaka 2015 nina uhakika asilimia sabini ya wapiga kura wa nchi hii watakuwa wameshatukanwa sana na wewe nape,na hapo starajii aliyetukanwa kumpa kura aliyemtukana,kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.