Leo tarehe 25.01.2015 mwenyekiti wa Serikali ya mtaa wa Kimanga aliyechaguliwa na wananchi kwa kura nyingi pamoja na wajumbe wake ameitisha mkutano wa wananchi eneo la shule ya wazazi lakini cha ajabu katibu wa ccm wilaya ya Ilala kapiga simu kwa OCD kuwa kuna fujo sana hivyo polisi wamekuja...
Katika kile kinachosemwa kilichokatiliwa duniani hata mbinguni hakina nafasi,imedhihirika wazi kabisa jana jumamosi kwenye mkutano wa ma-ccm kata ya Kimanga baada ya mbunge aliyeiba kura bwana makongoro mahanga kuhutubia wajumbe wa masisiem ambao walilipwa kila mmoja shs 5000 mpk 10000 pamoja na...
Hatimaye ule mnara kwa ajili ya kumkumbuka mwandishi wa habari Daudi Mwangosi aliyeuwawa kwa bomu la polisi mbele ya Rpc Kamhanda wajengwa kijijini Nyololo...
Aluta continue!!
Taarifa kwa raia wote...kesho mambo yote Mabibo Uwanja wa Sahara.
Dk Slaa,Mnyika,Mabere Marando naTundu Lissu watawasha Moto.
Amka tuikomboe Dare es laam.
Sambaza kwa wengineo taarifa hii.
Baada ya uwasilishaji wa bajeti ya sirikali jioni hii mtangaji wa TBC alikuwa akiwahoji wabunge mbalimbali kuhusu maoni yao juu ya bajeti hii.
Katika pita pita yake kakutana uso kwa uso na Kamanda wa anga Mh.Freeman Mbowe na mahojiano yalikuwa kama ifuatavyo:
Mtangazaji: Mheshimiwa unaonaje...
Heshima kwenu wakuu,
Naombeni ushauri wenu wana JF mimi ni mlevi wa huu mtandao ninapoukosa kuupitia kila baada ya muda huwa nahisi unyonge,kilichonipata mpaka kuwaomba msaada ni speed ninapoingia JF,huwa kila ninapo sign in page inakuwa slow kiasi kwamba ni mpaka nirudie mara 2 au 3 ndio...
Heshima kwenu wakuu,
jana jumatano nilijiweka tayari luningani kupata darasa adhimu litolewalo na huyu profesa alietukuka na msomi wa hali ya juu sana,ajabu ni kwamba hakutokea,hii ikaniletea swali,
_je magamba yameshatuhujumu?
Mwenye jibu sahihi atufahamishe tafadhali...
Heshima mbele wakuu a.k.a Great Thinkers,nafurahi sana kuwa mwana JF kwa kuvutiwa na habari motomoto zinazopatikana humu jamvini,ni mwenzenu na tutakuwa pamoja kunako issues mbalimbali...Asanteni sana!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.