Sasa kama huyo mchumia tumbo atakuwa mkurugenzi wa mafunzo Na Benson Kigaila atakuwa Nani Sasa?Hizi story za abunuwasi utazipata fisiem tu maana wapo vichaa wanajifurahisha wakiingozwa Na kichaa mkuu...
Nimenukuu anaposema wanaoponda kuwa ni bajaji mbona zimefika Dar frm Canada,nimuulize tu,zimetumia muda gani?Hata bajaji inaweza kufika Mwanza ila itahitaji wiki kutoboa!!Hahahaa kajipange mzee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.