Mtoa hoja anatumiwa na CCM au Serikali, kwani serikali hivi sasa iko kwenye kampeni kubwa kuhakikisha CWT haipati sapoti kutoka kwa wadauili hoja za msingi ziishie kutupiliwa mbaali! walimu amkeni msitumiwe kutenganishwa wenyewe kwa wenyewe.Take care!
Wa TZ tuache kuvutia upande wetu kwenye masuala ya imani, tuwe wakweli penye ukweli, siyo kwa kuwa watu unaofikiri ni wa imani yako basi wawe kila kitu wawe juu, mnatupeleka pabaya! moto huwa unaanza na moshi, take care!
WAKATI MIMI NAMALIZA DARASA LA SABA, Wanafunzi wachache sana walikuwa wakifaulu na wachache zaidi (shule nyingi si zaidi ya watano) walichaguliwa kuendelea na masomo ya sekondari!! watu walikuwa hawashangai, leo hi darasa la saba si kikwazo tena wote wana pita, hakuna mchujo wowote hadi form...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.