Bwana King'ast, swali langu nilikuwa namaanisha Je ni sawa mtu kumaliza form four na kuingia board moja kwa moja na hatimaye kumaliza na kusajiriwa hadi kuajiriwa. Na hata baadaye akipata experiance ya kazi anaweza kujiunga na masters. wapo watu hapa Tanzania wanafanya hivyo MKUU
Mkuu, yaani namaanisha professional board wanakuwa na Levels zao ambazo zinakuwa na link na academic professional kwahivyo watu wenye Degree kuna level ya juu wanaanza lakin wale wa form four wanaanzia level ya chini na baadae kama akifaulu anapanda taratibu ngazi moja hadi nyingine na hatimaye...
Ebwana kweli ww ni mtanzania makini, ahsante sana kwa jibu zuri na nimelizika nalo kabisa.
Lakini swali lingine la nyaongeza hapohapo. Kwenye nchi yetu sasa hivi kuna watu wanokwenda kuanza moja kwa moja professional Board baaada ya kumaliza form four alafu wakimaliza hadi kupewa usajili...
Nyie mijitu mnazungumza vitu ambavyo wengi wenu mnaonyesha ni jinsi gani mlivyokuwa na elimu ndogo. Hanma uhakika na kile mnacho kisema, kwasababu huyu mtu aliyeweka list ya majina ya wenye PHD feki ukiyaangalia yale majina kwa mfano Dr Didas Massaburi amemsingizia hata kwa ukiangalia tu, unaona...
Nyie mijitu mnazungumza vitu ambavyo wengi wenu mnaonyesha ni jinsi gani mlivyokuwa na elimu ndogo. Hanma uhakika na kile mnacho kisema, kwasababu huyu mtu aliyeweka list ya majina ya wenye PHD feki ukiyaangalia yale majina kwa mfano Dr Didas Massaburi amemsingizia hata kwa ukiangalia tu, unaona...
Nyie mijitu mnazungumza vitu ambavyo wengi wenu mnaonyesha ni jinsi gani mlivyokuwa na elimu ndogo. Hanma uhakika na kile mnacho kisema, kwasababu huyu mtu aliyeweka list ya majina ya wenye PHD feki ukiyaangalia yale majina kwa mfano Dr Didas Massaburi amemsingizia hata kwa ukiangalia tu, unaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.