Search results

  1. M

    Kabendera Saga

    The criminal law regime is silent with regards to right of *unconvicted prisoner* or *rumandee* to attend the Burial Ceremony of his parent or any other relative. Both *the Prisons(Management) Regulations, 1968* and *the Prisons Act, Cap. 58* are silent on the matter. Also, the Criminal...
  2. M

    Suala la Mtambuka kuhusu mifuko ya plastiki

    Kuh.mifuko ya plastic juhudi za serikali /matunda yanaanza kuonekana. Bado hivi vifungaishio vya biashara za wanaojulikana na wasiojulikana vifanyiwe kazi katika jamii kuanzia ngazi ya mtu mmoja mmoja,familia, mashuleni,sehemu za mikusanyuko mbalimbali ...nk Watu "wafundishwe'' wapi pa kutupa!!!
  3. M

    KIWANDA CHA KUBANGUA KOROSHO VISIGA. "UVUKI"

    Mazingira ni balaa!! Moshi kila mahali- Kwenye Zahanati na Shule ya Secondary na kwa majirani. Maganda yanatupwa chini kinyume na taratibu. NEMC na Halmashauri ya KIBAHA okoeni jahazi haraka
  4. M

    Njiapanda ya Kawe na Darajani Bondeni...

    Kongole!! Kivuko cha watembea miguu(flaiova) kinafanya kazi... Seng'enge imeshawekwa,kwa hiyo hakuna mtu wa kukatiza. Alama za pundamilia hazipo... Kamera ya Police pale darajani ya nini ? Tukifika hapo inakuwa single lane! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    MWAKA NI 2030

    Somo la Historia; tujikumbushe. Katika ngazi ya "UKURUGENZI WA MIJI/WILAYA" tu.....kwenda chini: Ni akina nani/ watu gani walisaidia sana "kuua" demokrasia iliyoanza kushamiri mwaka wa 2015?
  6. M

    Ufukarishaji unaoendelea Kiteto

    Watawala wamewaondoa watu kwenye makazi ya wakulima Kisima, Changarawe/Mlyongima, kwa Magere/Butiama, kwa Rama, Pori kwa Pori # 2, Milima 3 nk kwa hila na kuumba tatizo la wakimbizi wa ndani(IDP's) kimya kimya. Watu wamevunjiwa makazi yao, wameswagwa na kurundikwa Pori kwa pori #1 kwa nguvu...
  7. M

    Haki huinua taifa; bali dhambi ni aibu ya watu wote

    ..Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na HAKI yake; na hayo yote mtazidishiwa. . . ...Na kazi ya HAKI itakuwa AMANI; na mazao ya HAKI yatakuwa ni UTULIVU na MATUMAINI daima... Ooo, kumbe 'amani na utulivu' ni matokeo... ...Basi, kabla ya mambo yote,nataka DUA, na SALA, na MAOMBEZI, na shukrani...
  8. M

    SHERIA, KANUNI, TARATIBU

    Tulikuwa kwenye mchakato wa Sheria mama-Katiba-; mabilioni yakatumika. Ikafika mahala- ika/mekwama. Utawala mpya ukaanza. (Ma)waziri na Mkulu _siyo kipaumbele _sikuzungumzia wakati natafuta Kura _tutaanza tena pale tulipoishia....nk nk. Hili nalo litatatuliwa tu, tupende tusipende! Sheria zetu...
Back
Top Bottom