Wakuu heshima kwenu..Tunauza tV za aina zote kwa bei poa sana...tunapatikana Arusha town hapa...kwa mahitaji yeyote nicheki kwa 0765360814 watsup na call kawaida .Karibuni sana.
Heshima kwenu wakuu...dogo langu aliapply chuo cha uhasibu Arusha njiro ngazi ya cheti kwenye IT...kwenye kuripoti ikaonekna chuo walisahau kuingiza jina lake wakati wanatuma majina tamiseni...
Sasa ni week ofisi ya usajili inaniambia kuna shida ya network saver ya Tamiseni so wanshindwa...
Wakuu heshima kwenu
Kuna sisi wazazi tulipeleka watoto wetu kusoma nje ya nchi (Ukraine) kabla ya vita kupitia hawa maagent matapeli Globel Education link, nawaita matapeli sababu wanachokifanya kwa sasa ni kama utapeli kuhusu hatima ya watoto wetu na pesa zetu tulizowalipa.
Hawatupi...
Pole mkuu...sie tulichukua option ya kutoa kabisa kizazi...sababu docta alitwambia hakifai tena hizo fibros zimekuwa kubwa sana...dawa za mitishamba kwa uzoefu wangu hazisaidii asee...wangu alimeza sana hizo makitu bila msaada wowote...me ilikuwa arusha mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.