Mafenesi yamekuwa dili Dar kila hatua mbili kuna kitoroli wanachambua na kuweka kwenye vikombe vya plastic yaelekea biashara nzuri. Ila kama vile usafi tatizo wenye u juzi watujuze
Mgombe Uraisi Edward Lowassa kesho atakuwa viwanja vya Tungi Kigamboni kuanzia saa 3 tutawajuza yatakayo endelea
Tutawajuza yatakayokuwa yakiendelea
Karibuni sana
Taarifa kutoka kwenye makampuni ya Bima nchini ikisema kuanzia leo tarehe 1/7 tozo la asilimia 18% VAT litatozwa kwenye malipo yeyote ya bima(premium)
Hii inataleta shida na mkaganyiko kwa jamii ukichukulia imebebeshwa mzigo wa kodi mbalimbali na ongezeko la bei ya mafuta.
Serikali haina...
Basi la Hajees limeanguka mpakani mwa mkoa wa Tanga na Pwani likitokea Tanga kuelekea Dar.
===========
Watu wanne wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la Hajees kupinduka katika Kijiji cha Mnazi, Kata ya Mandela wilayani Bagamoyo Mkoa wa Pwani.
Magufuli kaamua kukatiza safari ya Panton dogo likiwa njiani kupelekwa mombasa kwa ajili ya matengenezo makubwa baada ya mkandarasi aliyeshinda tenda ya kulitengeneza. Hivi sasa limetelekezwa bandari ya zanzibar haya ni matumizi mabaya ya fedha za serikali huku wananchi wanateseka kukosa usafiri...
Benk kubwa hapa nchini CRDB imetangaza kutoa gawio la sh 9 kwa hisa baada kupigwa mahesabu na kuonyesha kupungua kwa faida mwaka uliopita wamepata bil.19.6 tu kutoa kodi.
My take
Hii ni dalili za kuporomoka kwa benk kama watu walidai huko nyuma kuwa mahesabu ya benk yanapikwa
Hapa Mwanza leo magari ya serikali yamejaa kila sekunde unapishana na maV8 STK inaelekea sherehe za chama zimegeuka kuwa ya serikali gharama inaonekana kubwa sana kwani madc,wakurugenzi,maRC wote wapo wanatanua per diem na madereva wao, wakati madaktari na wagonjwa hoi hii ndio ccm inapotupeleka....
Pictured: The schoolgirl who 'cries' blood and bleeds through her pores
By Graham Smith
Last updated at 1:00 PM on 11th January 2010
Comments (4)
Add to My Stories
A schoolgirl who spontaneously bleeds from her pores has left doctors baffled.
Indian Twinkle Dwivedi, 14, has an undiagnosed...
Jamani Mola kanijalia mtoto wa kiume anafanana na baba yake na babu yake sijui kama tabia zitafanana na baba yake na babu yake, pia nimempa jina la babu yake sijui atakuwa na tabia za babu yake kilaji na totos kwa sana
Asanteni wale wote mtakaonipa pongezi
Mi naomba ushauri
Ninakwazika sana na sijui la kufanya, nina mdogo wangu msichana anaishi mkoani na huwa ananitembelea mara kwa mara, pia nina Boss wangu ambaye imetokea akamuona mdogo wangu bila hata kujua wamekuwa na uhusiano ye akisafiri au mdogo wangu akija Dar wanawasiliana na uhusiano huo...
Bora mama huyu aanze mbele , mtu kula uroda kwa a porn star tena bila condom , kuna umuhimu gani wa kuishi naye? kawaida mtu akiwa hatumii condom hatotumia tuu na kama alicheat ata cheat tuu ,sawa kabisa kwa mama kuachana na huyu jamaa kwa usalama wake na watoto wake.
Pia ukicheki jamaa hakuwa...
Nina boyfriend ambae sasa tumeanza mwaka wa pili kwenye mahusiano yetu na katika haya mahusiano kutokana na huyo jamaa kuwa ni mkorofi, mtemi na anayeamua mambo yake mimi kumsikiliza tu sitakiwi kupinga na hata nikipinga halitafanyiwa kazi, katika kuanza mahusiano yetu nikatambulishwa kwa mama...
Kipindi cha hedhi wakina mama wengi hutumia njia mbalimbali kujisafi wengine hutumia pedi wengine vipande vya kanga na wengine maji tu yatosha.
Lakini baada ya kutumia vifaa hivyo namna ya kuvitunza kwa ajili ya kwenda kuvitupa mara nyingi utakuta pedi zimezagaa kila mahali.
Mie jambo hili...
Umeipata hii kali ya huko Mbeya Wazee huko wanajichukulia visichana vidogo vya primary na vimepewa jina ati wanadai kupata chanjo ni kuvimega visichana vidogo.
Hivi karibuni supermodo Naomi Campbel alitua bongo na kufanya Catwalk ya relief kwa mara ya kwanza ndani ya bara la afrika tena hapa bongo dar je hali hiyo itaitangaza bongo??
hapa kuna news from daily mail la uk
Naomi Campbell attacks 'fashion world discrimination' against black models
By...
Jamani yamenikuta..
Nimegundua wife anamegwa na jamaa kama wawili hivi na amekuwa akiwacontact mara kwa mara kwa muda sasa, baada ya kufanya uspie na kugundua hayo nimemgomea kula tundi na kupunguza maongezi nae siku moja aliniuliza nikamweleza nimejua ana jamaa hao na nikamtajia majina na...
Kuna article hii kutoka dailymail la Uk kuwa ukioa Mwanamke uliyepishana naye miaka zaidi ya 5 na kuendelea ndoa yenu itadumu. Je ni kweli kwa jamii yetu ???
Tuijadili
Why it pays to have a younger, smarter wife
By Fiona Macrae
Last updated at 11:02 PM on 25th October 2009
Forget...
Haya yamenikuta kweli Bibie home hataki kuduu na mimi nina hamu ikabidi nicheki binti mmoja tupo nae jirani akakubali sasa tukaenda nae sehemu sehemu nikaanza kupiga cost
Taxi: 15,000 two way
Room: 25,000
Drinks & sosi:35,000
Mshiko kwa bint:30,000
Voucher:10,000
Total cost: 115,000
Kweli MBA...
Mwananchi iliripoti Jumamosi iliyopita kuwa wazee wa Chadema walikuwa wamepanga kukutana na Zitto ili wamuombe aondoe jina lake kwenye nafasi ya uenyekiti na kwamba, angepewa cheo cha katibu mkuu wa chama baada ya anayeshikilia nafasi hiyo, Dk Willibrod Slaa kuripotiwa kuwa anataka kujiweka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.