Bonge moja la story ukiwapelekea Malvel utapata mkwanja mnene sana alafu wenyewe wanaweka ktk movie zao zile za fiction.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumuua hapohapo mtu alomshoot raisi ni kosa kubwa sana la kiintelijensi,mtu huyo inabidi apatikane akiwa hai kwa gharama yoyote ile yan kuua ni jambo la mwisho,ukimuua utakua pia unewafurahisha hata walomtuma sababu ushahidi mkubwa na chanzo kikubwa cha upelelezi wote umeuharibu palepale.
Wewe ambaye babako na mamako,bibi na babu wazawa umeifanyia nini Tanzania,je toma hiyo mwaka 80 unataka kusema hakuomba uraia,je wewe si kati ya wale mlosema MWINYI na SALIM waarabu,MKAPA wa Msumbiji,KIKWETE Mkomoro na MAGUFULI Mnyarwanda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.