nimesema ilikuwa inajishughulisha na utengenezaji wa magazine ambazo tayar 2likuwa 2meanza kutengeneza sema haijatoka, na kuhusu tv show nimesema 2likuwa 2nataka kufanya cyo 2likuwa 2nafanya.
tulianzisha kampuni mimi na mwenzangu, ilikuwa inajishughulisha na utengenezaji wa magizene pia tulikuwa tunataka kufanya tv show, kuandaa documentary na drama. Tulipata mfadhili lkn kabla hatujafika popote yule mfadhili alipata matatizo 2kashindwa kuendelea,, sasa tunachohitaji ni mfandhili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.