Sifa zote njema ni za mwenyezimungu mola mlezi wa viumbe vyote, yeye tu ndio tunamuabudu na yeye tu tunamuomba msaada na alitakalo ni kun fayakun. inawezekana kwani asichokiuwa mungu binadamu hawezi kukiua kabisa. inshallah twakutakia kila la kheri uzidi kupata nafuu na urudi kwenye kazi zako...
namuembea sana sajuki, mola amuenue na kumrudisha kwenye hali yake ya kawaida, inshallah sajuki utapita kwenye mtihani wako bora uwe na imani tu. usivunjike moyo kwani mwenyezimngu amekukumbuka. kuwa na subra na mola atakuondolea matatizo yako. amin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.