Maswala ya ndoa au kuwa na kimada hili jambo mumuachie mkewe Mbowe, kwa upande wangu hata Mbowe mumchafue vipi katu hawezi kufanana na Mizigo ya Chama Cha Mizigo au pia halitowafanya Wanachadema wampende Zitto au Watanzania waipende CCM
Nilikuwa navutiwa sana na Makala za Maggid lakini kwasasa huwa napoma kijujuu ili nione upuuzi gani ameandika navyofahamu mm mtu ambaye background yake ni Iringa hasa lazima atakuwa mwanamapinduzi hata akiwa ndani ya CCM ila kama ni wakuja lazima awe kama Maggid
Songoro kwani maprof wanatakiwa wawe na limitation of source of reference? Prof hakosei? Je prof. Hawezi kufika mahala akawa mchumia tumbo? Mm namshauri akipenda achukue ushauri asipopenda akiona Lema hafai kwa reference aache but only the matter of time
Prof. Baregu tafuta hotuba ya Mh. G Lema aliyosema namnukuu 'ukiona CCM wameanza kukusifu inabidi ushtuke huenda kuna mahala umekuwa Boya' So mzee Baregu nakuamini sana naomba uendelee kutunza imani yangu kwako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.