Kama mama yake kakuambia umuonyeshe pa kumpeleka na anajua tabia ya mwanae, wewe sogea na huyo mama mpaka gerezani mwambie kama wewe hujaona pa kumpeleka vipi humu gerezani patamfaa kwa tabia yake, huyo mama akipanic na wewe kuwa mkali umwambie ajue sasa pa kumpeleka... Au huyo mama kakushika...
Dada yangu, kwa huyo jamaa haupo mguu ndani mwengine nje, we umezama kabisa la sivyo usingekuja huku kuomba ushauri.
We kiamshe mapema tena akikutafuta na wewe unamkatia simu, akituma msg unaipotezea, tena block namba yake kabisa, mbona vitu vyengine simple tu na vipo wazi. HAKUPENDI hilo...
Umepiga lugha yako yoooote, ila kifupi kuna mambo umeonyesha dhahiri.
1-Haufikirii kwa ubongo wako bali watumia hicho kichwa cha katikati ya miguu kuwaza.
2-Unatamaa ya visichana, ninawasiwasi hata ukiingia kwenye ndoa utatamani dogo dogo
3-Haupo tayari kwa uchumba ila upo kingono zaidi...
Kabla hamjaanza uzinzi wenu mbona hukuomba ushauri.. Now ndio unakuja kusumbua watu eti ushauri... Ulimuonyesha maujuzi kitandani akapagawa.. Monyash sasa na ujuzi wa kulea... Nyambaff
Kuna watu wamekaa ukabila kabila tu mwanzo mwisho,haya sasa moral ya story yako ni nini??
Na huyo anaedai wahaya wanaazima magari na yeye mbwiiiilu....umesimuliwa na wewe uka edit uonekane unastory....
Ndugu kama komedi toeni zenye akili sio mnajinaaaadi na kuleta ukabila...maisha yenyewe...
MH!!
Wapendwa kaka zangu na dada zangu...Mimi kama Mtanzania na Muhaya,nimehuzunishwa na matusi,kashfa na kejeli za hii thread kuhusiana na Uhaya...ni kweli tuna mapungufu yetu ila ni kila mwanadamu ana yake,ukabila upo kila sehemu,ni vile kila mtu anamtupia mwenzake kesi badala ya kukubali na...
wapendwa....hata Mpoki kasema..
"Ukiona panya kakatisha sebuleni ujue anataka kujulikana."
huyo mwenzetu anayedai yupo Ulaya alikuwa anataka ajulikane,tushamjua,na maoni yake tushayasikia,sasa namuomba apeleke malalamishi yake kwenye website ya Ze Orijino Komedi ili yashughulikiwe na sio...
naomba tusiwe tunajifanya twajua kumbe hakuna lolote....mwenye kuelewa aendelee,wa kutania anyamaze na kujifunza kutoka kwa wanaoelewa...wa kuleta matani basi aingie google kuna lots of jokes there....kiroho safi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.