Siyo wa TZ. Ni haya majuha yasiyojitambua, yanayofanya mitihani ya multiple choice halafu yanajiita yamefaulu na kuotka chuo hata kuandika hayajui!. Hakuna mtu mwenye akili timamu atajipa usemaji wa taifa na eti Africa nzima. Ni majitu mpaumbavu tu na haya haya nidyo yanyorudisha maendeleo nyuma...
All, means you and who? Never say all because you don't have any quality of representing me. It is only stupid guys of your like, not all. Get it you fool and your peers!..
Ndugu yangu, mbona kama unatafuta makovu kwenye speech ya mama? Ni kweli kwamba ulilolisikia ni hilo tu? Mama kaongea mengi na kusema suala la safari zake si kebehi. Mama kasema "anatembea nchi za nje kutafut fedha. Akasema safari za ndani ni kujenga siasa za ndani ambazo tija yake kifedha kwa...
1.Kujihamini sio kiswahili. Kiswahili ni kujiamini.
2. Usipojiamini hufai kuwa kiongozi.
3. Katika mambo yote, watu wenye busara huweka mipango yao yote kwa kuzingatia "worst possible scenarios".
Ukivuna mahindi, unaweka akiba kama njaa itatokea. Hapa unakuwa umejiandaa kwa njaa.
Ukipanga...
Hiyo ni taswira ya mtu mnafiki. Au hamjitambui?
Pia picha yenu ya kutokuweka akiba majumbani, inasomeka kwa namna ambavyo Mvua zinanyeshaga, mafuriko yanaleta madhara hadi mnanachangia wahanga wa mafuriko na miezi michache baadae, umeme hakuna, mgao eti maji yamefanya nini nini sijui. Magufuli...
Heading imeandika ujamaa? Mwenye hoja anazungumzia matumizi na utunzaji wa raslimali za taifa. Huo ndio ujamaa? Ubepari wenu ndiyo maendeleo? Kugawa tembo , twiga, madini kwenda china, uwekezaji dhurumati, madawa ya kulevya na ukiukwaji wa utawala bora ndiyo maendeleo ama ndio mbadala sahihi wa...
Wewe ndiye hujui lugha za kimataifa. Hizi ni enzi za utandawazi mtu anatumia lugha oyote duniani. Kung'ang'ania kishwahili peke yake ni muhuri wa "ujinga".
Wewe acha ubishi wa kijinga. Angalia ulichoandika. Agenda ni "Janga la vivuko vya Kigamboni", mvu Nyerere ziwa Victoria nayo ni kivuko cha Kigamboni? Wapi umesema MV Nyerere ziwa Victoria iliua watu 200 ili watu wajue sasa huongelei vivuko kwa Kigamboni? Aibu kama sifedhena.
Tubu dhambi hii. la sivo itakufuata muda is mrefu. Biblia inasema "Usimshuhudie jirani yako uwongo", "Mungu anachukizwa na shahidi wa uwongo", wewe unasema ni lini kivuko cha Kigamboni kiliua watu 200 kwenye awamu iliyopita? Au ndio uchawi wenyewe?
Inawezekana kusema sema madudu bila hatua, ni namna ya kutaka kuwaaminisha watu kwamba mifumo yetu iko makini, kumbe chini a zuria kila kitu ni halali tu.
Ninaona waziri mkuu akianika madudu ya serikali kama raia asie na mamlaka. Anakuwa mtu wa kusoma uovu kwa kushangaa na kulalalmika, nikisha hakuna kinachoendelea juu ya maovu hayo. Tatizo ni kwamba hana uwezo?, si kazi yake?, hana nia thabiti zaidi ya propanganda za kisiasa? AU genge la uharibu...
Mtoto wa kiongozi mbaya nae ni lazima awe mbaya? Basi kina lizmomko na mama ake hawatakiwi bungeni, japo wao ni team fisadi kweli kweli.
Hoja yako itakuwa na nguvu kama utaeleza sparks za uovu wa huyu wa sasa kama vile hawa pale juu wanavosifikakwa biashara za china, uwezo mdogo nk,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.