Search results

  1. C

    A message to the Russian ambassador to Tanzania

    Siyo wa TZ. Ni haya majuha yasiyojitambua, yanayofanya mitihani ya multiple choice halafu yanajiita yamefaulu na kuotka chuo hata kuandika hayajui!. Hakuna mtu mwenye akili timamu atajipa usemaji wa taifa na eti Africa nzima. Ni majitu mpaumbavu tu na haya haya nidyo yanyorudisha maendeleo nyuma...
  2. C

    A message to the Russian ambassador to Tanzania

    All, means you and who? Never say all because you don't have any quality of representing me. It is only stupid guys of your like, not all. Get it you fool and your peers!..
  3. C

    Kura zinaombwa kwa wenye akili ndogo?

    Ndugu yangu, mbona kama unatafuta makovu kwenye speech ya mama? Ni kweli kwamba ulilolisikia ni hilo tu? Mama kaongea mengi na kusema suala la safari zake si kebehi. Mama kasema "anatembea nchi za nje kutafut fedha. Akasema safari za ndani ni kujenga siasa za ndani ambazo tija yake kifedha kwa...
  4. C

    Paul Kagame ni nani EAC? Hii jeuri ya kujiamini hivi anaitoa wapi?

    1.Kujihamini sio kiswahili. Kiswahili ni kujiamini. 2. Usipojiamini hufai kuwa kiongozi. 3. Katika mambo yote, watu wenye busara huweka mipango yao yote kwa kuzingatia "worst possible scenarios". Ukivuna mahindi, unaweka akiba kama njaa itatokea. Hapa unakuwa umejiandaa kwa njaa. Ukipanga...
  5. C

    Hivi desturi ya Kujenga nyumba nje nzuri ndani ovyo tumeitoa wapi Tanzania

    Hiyo ni taswira ya mtu mnafiki. Au hamjitambui? Pia picha yenu ya kutokuweka akiba majumbani, inasomeka kwa namna ambavyo Mvua zinanyeshaga, mafuriko yanaleta madhara hadi mnanachangia wahanga wa mafuriko na miezi michache baadae, umeme hakuna, mgao eti maji yamefanya nini nini sijui. Magufuli...
  6. C

    Usajili wa chama cha siasa cha National Economical Reformation Socialist Party -NERP

    Heading imeandika ujamaa? Mwenye hoja anazungumzia matumizi na utunzaji wa raslimali za taifa. Huo ndio ujamaa? Ubepari wenu ndiyo maendeleo? Kugawa tembo , twiga, madini kwenda china, uwekezaji dhurumati, madawa ya kulevya na ukiukwaji wa utawala bora ndiyo maendeleo ama ndio mbadala sahihi wa...
  7. C

    Usajili wa chama cha siasa cha National Economical Reformation Socialist Party -NERP

    Wewe ndiye hujui lugha za kimataifa. Hizi ni enzi za utandawazi mtu anatumia lugha oyote duniani. Kung'ang'ania kishwahili peke yake ni muhuri wa "ujinga".
  8. C

    Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

    Wewe acha ubishi wa kijinga. Angalia ulichoandika. Agenda ni "Janga la vivuko vya Kigamboni", mvu Nyerere ziwa Victoria nayo ni kivuko cha Kigamboni? Wapi umesema MV Nyerere ziwa Victoria iliua watu 200 ili watu wajue sasa huongelei vivuko kwa Kigamboni? Aibu kama sifedhena.
  9. C

    Kuna janga linaandaliwa vivuko vya Kigamboni, TEMESA chukueni hatua

    Tubu dhambi hii. la sivo itakufuata muda is mrefu. Biblia inasema "Usimshuhudie jirani yako uwongo", "Mungu anachukizwa na shahidi wa uwongo", wewe unasema ni lini kivuko cha Kigamboni kiliua watu 200 kwenye awamu iliyopita? Au ndio uchawi wenyewe?
  10. C

    Je, kuna uhusiano wa UTI sugu na kuathiri 'sexual pleasure' ya mwanamke?

    No wonder watu wa aina yako mnatumia majambia kusukuma agenda zenu. Elimu hamna!. Kichwa kimejaa maruwe ruwe.
  11. C

    Je, kuna uhusiano wa UTI sugu na kuathiri 'sexual pleasure' ya mwanamke?

    Mkuu aibu!. Wewe hii si fani yako. Omba radhi!.
  12. C

    Nigeria tayari, Uislamu unaenda kuimeza Ulaya, wakristo watakuwa dini ya upili

    Hata mwandishi wa makala hii, shule hakuna "dini ya upili!". Duh!
  13. C

    Rais ajaye

    Tatizo mijadala hii inatakiwa kugawanywa kwa viwango. Na hii ndio sababu mnawapa shida moderators kwa sbabu ya uwezo hafifu wa kuelewa. Pole sana.
  14. C

    Rais ajaye

    Pengine hujui. Makamu wa rais ni ofisi, siyo jina la mtu.
  15. C

    Maelfu ya wanamgambo wa Boko Haram wajisalimisha Nigeria

    Hawa ndio waabudu shetani watiifu.
  16. C

    Nchi inapokuwa na Waziri Mkuu mlalamikaji na mshangaaji bila kuchukua hatua zenye matokeo, shida iko wapi?

    Inawezekana kusema sema madudu bila hatua, ni namna ya kutaka kuwaaminisha watu kwamba mifumo yetu iko makini, kumbe chini a zuria kila kitu ni halali tu.
  17. C

    Nchi inapokuwa na Waziri Mkuu mlalamikaji na mshangaaji bila kuchukua hatua zenye matokeo, shida iko wapi?

    Ninaona waziri mkuu akianika madudu ya serikali kama raia asie na mamlaka. Anakuwa mtu wa kusoma uovu kwa kushangaa na kulalalmika, nikisha hakuna kinachoendelea juu ya maovu hayo. Tatizo ni kwamba hana uwezo?, si kazi yake?, hana nia thabiti zaidi ya propanganda za kisiasa? AU genge la uharibu...
  18. C

    Mtoto wa Dikteta wa zamani kushinda Urais wa Philippines ni mfano wa gharama ya demokrasia dhaifu

    Mtoto wa kiongozi mbaya nae ni lazima awe mbaya? Basi kina lizmomko na mama ake hawatakiwi bungeni, japo wao ni team fisadi kweli kweli. Hoja yako itakuwa na nguvu kama utaeleza sparks za uovu wa huyu wa sasa kama vile hawa pale juu wanavosifikakwa biashara za china, uwezo mdogo nk,
  19. C

    Mungu anataka aabudiwe kupitia Masanamu?

    Hayana maana na inawezekana yakasaidia kupoteza utulivu wa kumwelekea Mungu kwa watu wanaokwenda ibadani bila kumjua Mungu.
Back
Top Bottom