Habari ,
nimeshindwa kukuelewa jinsi ulivyochangia mada hapa jamvini na unaniita tapeli. unaweza nieleza ni wapi nilikutapeli? au kosa langu ni nini hasa? mbona wenzako wamepita kimya ? naomba tuheshimiane tumia vizuri hiyo akiri yako.
mimi ni nina leseni 2 za madini moja ya kujimba nyingine ya...
Wapigaji on the net duh njaa zitawaua nasikia wazungu wameshtuka hawapigiki ndo mnaamua kupiga walalahoi wenzenu kama mngekuwa. Mnataka soko la nje mngeandika tangazo lenu kiingereza mate audience kubwa zaidi lakini kwakuwa mnalenga wanaoongea kiswahili ndomana mmeandika kiswahili huku itakuwa...
Duh matapeli kweli mmechoka sasahivi mpaka mmeamua kuiga local maana wazungu wameshawashtukia .we kweli uwe na diamond halafu uangaike kuiuza wakati unafuata taratibu zote za nchi we kweli ni mwenye mawazo finyu ukidhani unaweza kuibia watu humu.lakini kila la kheri maana wanazaliwa kila siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.