Search results

  1. S

    Mwezi umeonekana Saudia

    mimi nimeuona leo dar es salaam lakini umeonekana kuwa mkubwa inamaana jana umeonekana mahara, na kesho utakywa mkubwa zaidi ya leo.
  2. S

    Nini maana ya Masalio halisi na masalio yaliyopo? Ukiangalia salio CRDB

    hii mada imeisha eleweka sasa nadhani ifutwe
  3. S

    Sikukuu imekaribia, tujipange

    kwani sikukuu ni lini?
  4. S

    Watanzania ni wepesi sana wa kusahau, Chukua tahadhari

    kusimama magufuri katika hii nafasi ni pigo kwa ukawa
  5. S

    Kituo cha Polisi Ukonga Stakishari chavamiwa na Majambazi

    Matukio kama haya ni kawaida huwezi kuzuia ila tahadhari inahitajika kwani polisi ni sababu kuu ya kuzuia mission ya majambazi na huwezi jua leo jambazi anawaza nini hivyo polisi is always a first target ambayo all the time ni visible, kwa hiyo mnatakiwa kuelewa hilo kuwa jambazi wakati mwingine...
  6. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    mkuu mshana mimi nashauri pia kama inawezekana uanzishe group la wasap ili kama vipi iwe rahisi kutuma picha su hata video ya tatizo husika wasalamu.
  7. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Nakushukuru sana mkuuu mshana for your +ve response tayari nimemuagiza fundi afanye hivyo nitaleta mlisho nyuma.
  8. S

    Rais wangu Edward Lowassa, wish u all the best, wewe ni jembe

    Lowasa ni jembe , embu ukipata muda sikiliza ile clip ya kujiuzuru kwake alafu uniambie ni watu wangapi wenye ujasiri wa kusema maneno kama yale kwa wakati ule.This man is strong aisee.
  9. S

    Hongera Paul Makonda kwa Kinondoni Talent Search, Lakini...

    makonda anakuja vizuri nimemuona kwenye blog fulan siikumbuki jamaa akiwa anaosha gari yaani kauvaa uhusika kabisa poa sana ukijichanganya na wananchi kiasi hiki inakupa credit sana mkuu bila kujali nafasi yako ya uheshimiwa big up makonda you coming good.
  10. S

    Asante JWTZ Mgulani Sabasaba: Mmeokoa maisha ya familia yangu!

    ni busara ya hali ya juu kwa mtoa mada
  11. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    ya alternator ya gari gx 110 inanyonya betri fundi ameniambia imekufa kwa hiyo haifui umeme so nataka ya kubadilisha. Gari ikiwaka baada ya kubustiwa inazima ukitoa betri ya msaada.so kwa ushauri ni bora ninunue hivi vitu au ni badilishe altornator yote?
  12. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    habari zenu wanajamvi je kuna mtu anawezakuwa na diode na cut ya kwenye alternator volt 12 au wapi naweza kupata used kama yes npm mkuu
  13. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    ok vip kama nikianza na engine oil ya Bp pamoja na filter .this time then baada ya mwezi nikabadilisha oil ya gear box je hii formula itakua ok?
  14. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    ok nimekupata mkuu, je hakuna oil nyingine nzuri ya bei chip ninayo weza weka kwa emergency?
  15. S

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Na hata walio olewa hawapati raha ya tendo la ndoa kwasababu wanaume wengi ni wachovu.
  16. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    mh mshana na wazoefu wengine nataka kubadilidha engine oil na oil ya gear box , pamoja na filter lakini nataka niweke ile ya bei chip ambayo nitaitumia ndani ya miezi mitatu ila baada ya hapo nataka niweke oil ya Bp je kuns athari zozote kwenye gari.¿?
  17. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Ni kweli nimejaribu ina reset Trip A na Trip B tuu lakini total mileage inabaki pale pale thanks very useful jukwaa.
  18. S

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Odo meter namba zinafaida ipi katika gari?
Back
Top Bottom