Leo kumetokea kutokuelewana kati yangu na mchumba angu na mwisho ikafikia hatua akanitumia sms kama utaamua kuniacha powa tu niache.
Kwa wanaume wenzangu naombeni ushauri wenu, huyu anamaana gani kunitamkia hivyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.