Mwizi mmoja alienda kuiba kitaa kimoja hivi,akabaatika kuingia kwenye nyumba moja pale kitaani.Alipoingia ndani akafanikiwa kuchukua baadhi ya vitu.Alipo maliza kuiba si akataka asepe,dogo akamkamata mguu akamwambia usipo iba na begi langu la shule napiga kelele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.