Kama mtu amehukumiwa kulipa fedha alizo iba... Kwa muda wa sku 30...je endapo hajafanikiwa kupata hzo fedha...anaweza kwenda kuomba kuongezewa muda tena...na hakimu anaruhusiwa kumpa muda bila mlalamikaji kuwepo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana... Je kuna umuhimu wa mm kujua mali anazomiliki ili kujiandaa endapo hatalipa. Hiyo hela.. Ili ninavyopeleka ombi niwe najua uhalali wa mali zake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa na kesi mahakama ya mwanzo...mtuhumiwa alihukumiwa kulipa fedha alizoiba ndani ya siku 30. Yani kutoka tar 31/01/2019 hadi mnamo tr 3 mwezi wa tatu...swali langu je asipotekeleza hilo nn huwa kinafuata? Na je nini matokeo ya mlalamikaji? Pia nfanye maandalizi gani kabla kuisha kwa muda...
Nilikuwa na kesi mahakama ya mwanzo...mtuhumiwa alihukumiwa kulipa fedha alizoiba ndani ya siku 30. Yani kutoka tar 31/01/2019 hadi mnamo tr 3 mwezi wa tatu...swali langu je asipotekeleza hilo nn huwa kinafuata? Na je nini matokeo ya mlalamikaji? Pia nfanye maandalizi gani kabla kuisha kwa muda...
habari...., niliwahi fanya kazi ktk shule moja ya binafsi.
Wakaja watu wa NSSF wakatusajiri ktk mfuko huo wa nssf. Mwaka 2011, makato yalikuwa aslimia 10 ya mshahara wangu.mwaka 2015 nikapata ajira serikalini hadi sasa. Makato bado nakatwa asilimia kumi na mkurugenzi anapeleka aslmia, 10...
habari...., niliwahi fanya kazi ktk shule moja ya binafsi.
Wakaja watu wa NSSF wakatusajiri ktk mfuko huo wa nssf. Mwaka 2011, makato yalikuwa aslimia 10 ya mshahara wangu.mwaka 2015 nikapata ajira serikalini hadi sasa. Makato bado nakatwa asilimia kumi na mkurugenzi anapeleka aslmia, 10...
habari...., niliwahi fanya kazi ktk shule moja ya binafsi.
Wakaja watu wa NSSF wakatusajiri ktk mfuko huo wa nssf. Mwaka 2011, makato yalikuwa aslimia 10 ya mshahara wangu.mwaka 2015 nikapata ajira serikalini hadi sasa. Makato bado nakatwa asilimia kumi na mkurugenzi anapeleka aslmia, 10...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.