hata mimi walinipigia wakataka niwatumie laki nne ili niitwe kwenye usaili kwa mara ya pili na kwa madai yao ni kua nimefanya vizuri sana kwenye aptitude test ila watu ni wengi sana sasa inabidi niwape hiyo amount ili niwe special case.. mweeeeh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.