kwa hakika siku zote tunatakiwa tuamini kuwa hakuna mwanzo usiokuwa na mwisho....kila mbinu chafu itakayopangwa kwa nia mbaya ya kukivunja ama kukipa sifa mbaya chadema..mungu wetu aliye hai atazivumbua njama hizo na ndio maana mpaka sasa kila mbinu wanayoipanga inagundulika.......chadema ni...
dah...wana jf yaan kuna vitu vingine vya ajabu sana...nimepiga simu kwa namba alizoacha jamaa..nilichoambiwa ninatakiwa nitoe elf 60 kwa ajili ya training then ndio unapewa jukumu la kufanya kazi na mawakala wao..hapo naona unanunua kazi kwa elf 60.....kwa mtaji huo mi siwezi
mungu wetu aliye kila kona atamponya dr. kama alivyomnusuru katika kifo, hii ni laana hakika, serikali ya mabavu inataka kuharibu amani katika nchi yetu..mungu isaidie tanzania..mungu mponye dr. ulimboka...amen
Serikali inapaswa kutatua jambo hili haraka iwezekanavyo, masikini ndio tunaumia, wao wanaenda kutibiwa nje...mungu saidia taifa letu maana tunapoenda huko mbele ni lazima watu watachoka , tutaishi kama syria
hiyo sio njia ya kutafuta suluhu bali kuongeza hasira za madaktari , lazima serikali ikae na itafute njia mbadala kuliko kufanya kitu kama alichofanyiwa dokta.....
ni kichefu chefu kuongelea maada hii jamani, yaan cuf as cuf kimeshapotea hiki chama, labda waende huko kwao visiwan zanzibar, ss hatutaki chama cha kifala **** , chama hakina hata msimamo, yaani kiufupi ni kinyaaa kuongelea cuf, toka walipochukua huamuzi wa kujiunga na ccm, nimewatoa thamani...
Anselm,
kauli mbiu ya chadema ni kama ipo vile vile, huo ni msistizo tu tunatakiwa tusnge mbele zaidi , zaidi ya hapa, mvuto wa chadema hakika nadhan hata wewe unaujua, uwe mwepesi wa kuelewa na si kuongea tu na kuweka picha zako zisizo na maana, we kijana mzima unavaa shuka hilo la kijani...
@RUHAZWE, chamsingi kaka watu kama hao tunaachana nao tu, sisi tuaangalia mustakabali mzima unavyoenda wa chama chetu aka mkombozi wa taifa la tanzania, mimi nasema tuungane kwa nguu zote ili tutimize lengo..
Chama cha chadema ni chama kinachokubalika sana mbele ya watanzania, nitashangaa kama kutakuwa na kijana wa leo ambaye atakuwa anakishabikia chama fulan hivi kinachotawala sasa hivi hapa tanzania.
Ninachoweza kusema, tukiombee kwa mungu kizidi kusimama na kiwe imara mpaka hapo kitakapochukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.