Search results

  1. M

    Jirani mkorofi, anafugia ng'ombe kwenye ukuta wangu

    Tatizo hapa ni kwamba ulipojenga ukuta hukuwacha nafasi kati ya kiwanja chako na chake. Hivyo ukuta huu unahesabiwa kuwa ni wako na wake.
  2. M

    Rais Samia hafanyi ziara Marekani, amekwenda UN

    Mkutano ni wa siku ngapi?
  3. M

    Rais wa Zambia, Hichilema aalikwa Ikulu ya Marekani

    Wako wengine waliokwenda Marekani kwa mbwembwe lkn ht jengo la Ikulu hawajaliona. [emoji1787]
  4. M

    Dodoma: Wabunge wanena kuhusu zuio la Marekani kwa Makonda

    Hapa suala lililo kubwa ni kujua uonevu gani wa haki za binadamu amefanya Mh. Makonda. Bila hilo kuwekwa wazi na Marekani, mijadala yetu itakuwa ya bure. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Katiba ya nchi hairuhusu. Ilipasishwa jinsi ilivyo kwa malengo na maana kubwa. Izingatiwe hivyo.
  6. M

    Spika tusaidie kujua CCM ilifanya vikao lini kumfukuza Nyalandu

    Bunge sio Ccm na spika wa bunge sio mwenyekiti wala katibu wa kuweka kumbukumbu za chama. Swali la vikao vya chama linapaswa kuulizwa kwa mtunza kumbukumbu za chama.
  7. M

    Kampuni ya TanzaniteOne iko tayari kuongea na Serikali kupitia upya mikataba

    Kutuangusha!! Waafrika ndio wanaotuangusha zaidi maana wanaopewa dhamana ya utawala hawafuatilii majukumu yao. Na wengi wao wanaiga na kutaka kuishi maisha ya kifahari kuliko ht wazungu.
  8. M

    Kikwete alikuwa anatumia uchawi gani!? Maana kodi alikuwa hakusanyi lakini aliweza kupandisha mishahara wafanyakazi

    Kuhakiki ni suala la utaratibu. Hata mwizi akikamatwa "red handed" hapelekwi jela moja kwa moja, ila mahakamani kwanza.
  9. M

    Ni kweli mishahara ya Majaji Tanzania haikatwi kodi?

    Whatchout. Kuna wafanyakazi wanaopata chini ya hapo na wanalipa kodi.
  10. M

    Ni kweli mishahara ya Majaji Tanzania haikatwi kodi?

    Ndiyo maana tuna bunge Mh. Lissu. Hii ndiyo mijadara uliyopaswa kupeleka bungeni kwa malengo ya kurekebishwa kuliko kuongelea mitaani.
  11. M

    Zitto Kabwe: Rais wa CCM, John Pombe Magufuli anachukia demokrasia, anaona vyama vya siasa ni bugudha

    Ni kweli nayaheshimu mawazo ya watu wanaoandika kwenye mitandau, lkn wakati mwingine nashangazwa na wanasiasa hasa wa vyama vya upinzani wanapoongelea suala la DEMOKRASIA. Wanaifafanua kama vilekila mtu anapaswa kufanya anavyotaka ktk jina la demokrasia. Ktk utawala wa sheria (rule of law) kila...
  12. M

    Kanisa Katoliki lalaani jaribio la kumuua Mh. Tundu Lissu

    Mbona hilo kanisa haliwalaani mapadri kukubali kupokea mgao ( sadaka? ) kutoka Escrow?
  13. M

    TEGETA, DAR: Meja Jenerali Mstaafu wa JWTZ, Vicent Mritaba apigwa risasi 5 na majambazi

    Definition ya majambazi ni ipi tukizingatia matukio yaliyopita?
  14. M

    Kutokana na mahusiano yasiyoridhisha kati ya Lissu na vyombo vya dola,CIA,FBI,MOSSAD,MI5 yahusishwe kuchunguza

    Mmm! Unataka kukimbilia vyombo vya uchunguzi kutoka nchi za nje, kwani vyombo vya ndani ya nchi vimeishashindwa? Waziri mku wa Sweden (Olof Palme) aliuawa 1986 hadi leo hawajampata muuaji na vyombo hivyo unavyovitaja vimetumika.
  15. M

    Msemaji wa Serikali: Magazeti yote nchini Tanzania lazima yasajiliwe upya kabla ya Oktoba 15, 2017

    Kunyimwa au kupewa hutokea wakati kuna maombi. Hapa msemaji kataja kusajiliwa upya wala sio kuomba. Kwahiyo suala la kunyimwa au kupewa halipo hapa. Watakaokidhi vigezo watasajiriwa bila ya tatizo.
  16. M

    Tochi za barabarani sasa faini 200,000. Tanroads wasema faini hiyo ni halali ipo kisheria

    Toka 2007 sheria ilipotungwa iliwekwa sandukuni mpaka sasa. Kwanini? Cku zote polisi wa traffik wanatoza faini ya 30000:- hawakuzijia hizo faini za Sumatra na Tanroad?
  17. M

    Eti, "Wananchi tumeamua kumuunga mkono mheshimiwa" nani kakutuma utusemee Wananchi?

    Tofautisha kati ya wananchi na "wananchi wote". Nilivyoelewa hakusemei wewe, lkn wakishakuwa watu wawili wanaounga mkono, tayari ni wananchi. Huyo unayemlenga hajasema wananchi wote bali kasema wananchi.
  18. M

    Je suala la EPA litaibushwa lini?

    Katika kasi ya serikali ya awamu ya tanu mambo mengi yaliyokuwa yamepita yameweza kuibushwa na kuelezwa ikiwemo mikataba ya madini, Escrow, ufisadi,rushwa nk. Kwenye suala hili la EPA mimi nimebaki najiuliza hadi leo pale ilipotangazwa kwamba watakaozirudisha zile fedha (kwa wakati uliotajwa)...
Back
Top Bottom