Anasema ananipenda amechanganyikiwa na yeye for the situation sijui wakati anafanya haoni, nimepeleka mashtaka kwny baraza la kata akikataa kuja au wakishindwa naenda ustawi wa jamii. What I need to do ni kufuta dream za huyo mke mtarajiwa kwanza kupata assuarance ya pesa ya matumizi kwa...
Anasema ananipenda amechanganyikiwa na yeye for the situation sijui wakati anafanya haoni, nimepeleka mashtaka kwny baraza la kata akikataa kuja au wakishindwa naenda ustawi wa jamii. What I need to do ni kufuta dream za huyo mke mtarajiwa kwanza kupata assuarance ya pesa ya matumizi kwa watoto...
Mimi ni binti wa miaka kama 30 hivi nina watoto wawili niko kwny ndoa ya kikristo kwa miaka mitano kwa sasa, Nimekuwa ninapata matatizo kwenye ndoa yangu mara kwa mara mimi na mume wangu, kiukweli naweza sijakaa kufurahia raha ya ndoa ni machungu tu mara nyingi. nina elimu ya kutosha nina kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.