Haya haya wadau,nimeamua kuleta mada hii baada ya kujitokeza kaubishani kidogo somewhere juu ya nani zaidi katika sekta ya ICT kati ya IT geek,injinia wa computer,mwanasayansi wa computer au injinia wa mawasiliano(telecom)!Kama wewe ni mmoja wapo hapo au una mchango wowote,hebu funguka with...
Kwa nijuavyo miaka 3 ni kama una Full Technician Certificate(FTC) or diploma NTA Level6 from technical colleges eg DIT,ATC or MIST na hiyo miaka 4 ni kama umetokea A-level!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.