HARAKATI za wataka urais wa Tanzania mwaka 2015 sasa zimeingia bungeni ambako baadhi ya wabunge wanajipanga kwenye makundi mithili ya ambayo yamekuwa yakionekana katika siasa za Kenya.
Raia Mwema limeambiwa kwamba yapo mawasiliano miongoni mwa wabunge na wanasiasa na baadhi yao wana mawasiliano...
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Shinyanga na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya chama hicho, Hamis Mngeja, amewashukia wasomi hapa nchini kwa kuendekeza mambo ya semina, makongamano, warsha pamoja na tafiti mbalimbli huku wakiiacha nchi ikiendelea kudidimia kiuchumi.
Mngeja ambaye pia ni...
NI UKWELI USIOFICHIKA SASA KUWA CUF NI CCM B
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimegeuza mashambulizi yake na safari hii kimekishutumu Chama cha Wananchi (CUF) kwa kile walichosema kuwahadaa Watanzania kiasi cha kuaminika kuwa ni wapinzani wa kweli.
Mashambulizi hayo yaliongozwa...
hivi na wewe umekosa kazi au mbona unaoknekana unajibishana nao sana au na wewe unatafuta umashuhuri hapa??katafute kazi ufanye wewe achana nao hao wenyewe hawakujibu wewe unajiongelesha tuu kama taahira ,unaboa bana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.