Mbowe shukuru mungu kuwa chadema ni mali ya mzee wako mtei, mbowe hana sifa ya kuwa mwenyekiti wa chadema. Hii nafasi umepata tu kwa kuwa unaishi na mtoto wa mzee mtei, kwa uwezo wako mdogo na utendaje mbovu kwenye baadhi ya vyama usingepata hata nafasi ya kuwa mkuu naibu katibu mkuu au naibu...
WAKUU MIMI NINATAFUTA WATU WA 8 TUWEZI KUSHIRIKIANA KWENYE KUSINDIKA MAZAO NA KILIMO CHA MAHINDI, MAHARGE, ALIZETI, MBAZI NA UFUTA . WATU HAO (8) TUTACHANGA MTAJI WA KUNUNUWA TRECTA JIPYA AINA SWARAJ 744, TUTAKODI WOTE MASHAMBA YA KULIMA HAYO MAZAO. GHARAMA ZA KUNUNUWA TRECTA 28MILIONI...
WAKUU NAOMBA KAMA KUNA MDAU YOYOTE WA JF MWENYE INFOR. ZA CEMENT YA NJE ie IRAN OR PAKISTAN ANIPATIE MAHITAJI YANGU NI MIFUKO 640 KWA WEEKI NAOMBA KUFAHAMU PRICE KWA MFUKO MOJA WA KG 50.
Kuna mtu anataka kuniuziya kiwanja maeneo ya pugu naomba kujuwa taratibu za kufuata nisijee kutapeliwa hatua ya kwanza hadi nilipe pesa nakaribisha ushauri wenu wakuu
Nahitaji kiwanja chenye hati eneo lolote dsm kwa haraka ila ni lazima tukafanye search wizarani kwa register ilikujuwa kama ni halali no.0765616178 or 0787139327 nakihitaji kwa haraka sana
Jana saa nane mchana nilipigiwa simu na mtu ambaye amejitambulisha kuwa ni omary yupo ikwiriri kwenye mradi wa kilimo kwanza nakuniambia kuwa ananifahamu kwakunitajia majina yangu vizuri na kuniambia kuwa wana matrecta yao sita yameharibika na spea zinapatikana suma jkt kwa kuzitoa...
Ninasafirisha mizigo kwenda mwanza , kahama , igunga, singida, shinyanga .kwakutumia maroli yangu nina scania 124 semi trela tani 32 open body , scania 94 kipisi kisicho na body , fuso karibuni sana kwa wote wenye mizigo. Namba yangu ya simu ni 0765 616178 , 0712976729 , 0787139327 natoa...
Kuna rafiki yangu yeye ni muajiriwa wa benki anataka kuwacha kazi afanye biashara ana pesa cash kama millioni 30 anaweza kufanya biashara gani ameniomba ushauri na mimi nimeamuwa kuleta jf wadau tumpe msaada wa mawazo ajikomboe mwenyewe
Nimepita mitaa ya udsm karibu na yombo 5& 6 watu ni wengi wanaosubiri kufanya interview ni zaid ya watu 1000 post zenyewe sidhani kama zinazidi 5 au 6! Kwa hali ile kweli kazi ipo kwa wasio na ajira/
Nyumba ya ukubwa wa room 3 sebule dining na choo cha ndani chumba kimoja ni master, ipo umbali wa km 4 toka mbezi mwisho upande kulia kama unatoka kimara bei milioni 28,000,000/= 0787 139327 or ni pm for more information
Ina room 3 moja ni master, jiko sebule , dining na vyoo vya ndani. Gari inafika hadi mlangoni bei yake ni tshs 25,000,000/= nyumba imekamilika mtu anahamia tu kwa maelezo zaidi 0712976729
Mtu akisema anauza nyumba ujuwe bei yake itakuwa ni kati ya millioni 40 hadi mia na kuendeleya mbona sioni nyumba ambazo watu wenye kipato kidogo wanazomudu kununuwa mfano bei ya millioni 7 hadi 15 millioni?????????????????????????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.