The Somali Civil War is an ongoing civil war taking place in Somalia. It began in 1991, when a coalition of clan-based armed opposition groups ousted the nation's long-standing military government.
Various factions began competing for influence in the power vacuum that followed, which...
Kwa kutumia hivyo vitabu vitano vilivyoandikwa na authors mbalimbali ungejibu au ungeshauri kwa hoja kwa kuwa wewe unaonekana umeshavisoma.
Kwa nini usitumie yaliyoandikwa kwenye hivyo vitabu kutoa ushauri au elimu bure kwa waislam walio wengi na si kila muislam kusoma hivyo vitabu.
Hapa hakuna udini kama unavyoeleza na kujaribu kutuaminisha bwana Shine. Suala ni kubwa ni nini kifanyike ili taifa lisiingie katika mpasuko. Suala la dini huwezi kulikwepa kwani mataifa makubwa yote yana dini wanazoamini. China wana Budhism, India wanaabudu wanyama na miti, UK na US wanaamini...
Hilo nalo ni jambo la kweli. Utakuta sheikh anachanguliwa kwa kuwa tu ni msemaji mzuri katika umma bila kujali elimu yake. Unafikiri kama hana elimu ya dunia na hata ya dini nini atakachoongea chenye tija zaidi ya kumislead waumini.
Kimsingi Bakwata ndio wenye jukumu la kusimamia uchaguzi wa...
Mkuu Remote ukiangalia sehem walizopita waarabu kama Tabora, Tanga Pwani na mikoa mingi Tanzania maendeleo yamechelewa kufika kutokana na mafundisho mila na jadi za hawa waarabu.
Tunashuhudia nchi kama Somalia, Misri na nchi za mashariki ya kati zilivyokuwa na vurugu za wao kwa wao japo ya...
Ni kweli vyuo vingi vya kikristo havina ubaguzi katika mavazi kama wafanyavyo upande wa pili. Hili mimi nalipinga vikali kwani mavazi hayasaidii kitu kama una akili za wastani.
Marnah sijakuelewa ulivyomshambulia bwana Mtoi bila kuwa na sababu au hoja ya msingi. Nadhani wewe ndio baadhi ya wachache mliokosa elimu au kama unayo basi hujaelimika.
Mkosoe bwana Mtoi kwa hoja na si kumuita brainless au mtoa pumba. Hapo unabaki wewe kuwa brainless kwa kuwa hakuna...
Mkuu the-true-wash kumbe tuna mtazamo mmoja. Nashukuru kwamba watu wengi wanalitambua hili kuwa ni tatizo na adui mkubwa wa waislam. Nadhani sasa ni muda muafaka wa kufanya mabadiliko. Mabadiliko haya yanaanzia katika kiini ambacho ni masheikh na viongozi wakuu wa kiislam kwa kuhubiri maendeleo...
Hapa umenena mkuu sultan. Zamani sana wakati nikiwa nasoma primary kulikuwa na vikundi vya dini mbalimbali vikileta sinema zikionesha mafundisho ya yesu kristo na wakati mwingine sinema za mtume Mohamad SAW zikielezea athari za kutokumwabudu Mungu na maisha baada ya kifo jambo ambalo ndilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.