Ndio Israeli inaundwa na Wayahudi ! Usisahau Kuna Ebrows ambao ni uzao wa Yakobo ndio hao MUNGU ameweka Agano la milele tangu BABU yao Abraham kabla ya kuitwa IBRAHIMU Baba wa Mataifa ,ukilaani Israel umelaaniwa ukiibariki umebarikiwa kabila 12 za Israel ndio hao wanaibeba Israel na hao Wayahudi .
Gypsum powder / iko aina 2 water proof na isiyo wayer proof vumbi tu hili vumbi linafaa kwa Dari na mikanda ila halifai popote, waterproof gypsum powder unaweza skim ndani kutani japo si imara inakwanguka kiwepesi ama kuachana na rangi inapokwanguliwa hata na kona ya Meza / White cement inafaa...
Bible imesema YESU hakuja kutangua torati Bali kutimiliza, torati sheria ilisema jino kwa jino ,ila YESU asema samehe maana hata ww una dhambi hatuokolewi kwa Matendo na Sheria bali kwa Neema ya MUNGU aamineye na kubatizwa ataokolewa YESU alikuja kuweka usawa ktk wokovu kukamilisha wokovu maana...
Du ! pole kaka hupaswi kutumia vinywaji vyenye acid kabisa wakati unapata matibabu na pia vyakula vyenye viungo vingi vya chakula pilipili n.k na wapaswa kula kiasi usishibe Sana pia hiyo ni Flux acid ya tumbo ikirudi kooni inakuchoma kama moto inatokeza kiungulia ntafute 0769 74 55 33
naishukuru serikali wizara ya afya jinsia na watoto juhudi kubwa kupambana na JANGA COVID 19 ,Kuna ndugu zetu wasafirishaji Abiria njia ya Mbeya Kyela Coster zimekuwa zikijaza Abiria wakati wa usiku kiasi ambacho hewa hakuna naomba vyombo husika viliangalie hili kwa haraka vinginevyo juhudi zote...
Russia walitangaza Wana silaha inayokwepa kila kikwazo angani na ardhini ,cjawaskia tena ila wamekuja na hiyo speed kuliko mwanga [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.