Simu zipo nyingi ambazo kwa huku kwetu tunaweza kusema ni org mchina ingawa hazijapita kwenye kiwango cha kimataifa ikiwemo-:
Tecno,Gtide,oking,Xtigi,Ajo,Dorado, Itel, godwin, hizi ni nzuri na zote unaweza kutengeneza hata software zake zinapatikana.
serikal isiruhusu matamko yanayotolewa na kiongoziwa dini yoyote au kikundi, nampongeza mh.nyepes aliposema serikal isijihusishe na ifute maombi,misaada, na mipango inayohusiana na dini yoyote ili kuepukana na chokochoko za upendeleo.
Huu ni udikteta wa kuwaonea wananchi ambao wengi wao hawana na hawajui kabisa kama laini yake tayar imesajiliwa au la, kitu cha msingi kampuniwazifunge lain zote ambazo hazijasajiliwa na anependa kuendelea nayo aisajili ila wao wanaona kufunga laini zao ni hasara lakini wananchi wao wanaweza...
Mmeunda sheria ya watumiaji wa simu bila ya kusajili watachukuliwa hatua kali ya kutozwa laki5 au jela miezi sita, hili limekaaje kwanini afungwe mtumiaji na ischukuliwe hatua kampuni ambayo ndio inyoruhusu mawasiliano hayo.
Sisi wananchi tulitegemea kuziona lain zote mpya ambazo hazijauzwa...
Leo tumemsikia, jaji mkuu msitaafu na Mwenyekiti wa tume ya Katiba mpya Mh Warioba akisema haya "Wanasiasa,Vyama vya siasa, Ngo, na vikundi vyvyote visihusike kwa kuwaingilia wananchi wakati wa kutoa maoni yao na pia amesema kuwa tutegemee maamuzi mazito kutarajia kupatikana kutoka kwenye katiba...
Leo kutoka radio clouds katika kipindi cha njia panda muuza baa kigamboni alisingiziwa mauaji ya kuua na aliteswa sana na kufanyiwa unyama wa aina yake, aliwekwa kwenye vituo vya polisi karibu vyote vya mjini bila ya kusomewa kesi, alipelekwa mwabepande kutaka kuuliwa.mateso yalikua si ya...
Ukipanda mbangi utegemee kuvuna nini? Cha ajabu viongozi wetu wa Zanzibar waliochaguliwa bara na udhalilishaji wote huu wamefumba macho na mashikio kwa maslahi yao.
Mwanasheria tumekuelewa na bado hujachelewa kutekeleza wajibu wako tunakuomba vita hii ianze kwa wasaliti waznz wenyewe kuanzia...
safi sana endelea kuwaelimisha viongozi wetu wa znz hawa ndio zaid wakiamua hata kesho suala la muungano litawezekana kama ilivyowezekana serikal ya mseto. kwa upande wa tanganyika wala hakuna tatizo ni shwar tu.
rushwa kwa polis wa tanzania imekithiri, imo ndani ya damu zao. lakini kwanini aliyewaondoa kina mkulo kipindi kile hakumuondoa wazir wa mambo ya ndani?
sehemu ya tanganyika unajua ww tu wazanzibar, mungu wenu, anajua kama kilo mita kumi kutoka bahar sio tanganyika na ndio maana aliwambia zamani mji wenu uko dodoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.