Wanaohamia au watakao hamia Chadema kutoka CCM baada yakukosa kuteuliwa kuwania ubunge kwa tiketi ya CCM ni walafi wa madaraka. Hawataki kuishi kama wananchi wa kwaida lazima daima dum wawe na madaraka. Nawatakia kila la kheri CCM ipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.