mimi ninayo dekoda ya ting AAL 003 kiukweli hawa jamaa wa TING wako juu mi siwezi sema mengi vika kwenye ofisi zao kwa sasa wapo mikoa yote Tz...namba zao ni 0769 85 85 85.
Mnyika hajakosea kumwita rais kikwete kuwa ni dhaifu,hakuna mtu alie hodari ktk kila idara,yawezekana alikuwa na sababu ya kumwita dhaifu rais kwa sababu zake,Bunge lingemsikiliza,kwa upande wangu Bunge halikumtendea haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.