naombeni msaada wakuu nyumbani kwangu natumia mita za umeme za luku zile za remote..sasa ghafla umeme ndan umezima na nikiisoma remote imeweka alama ya switch iko off...tatizo linaweza kuwa nn?...
..Nimekua nikifuatilia kwa mda malalamiko na hofu za hawa ndugu zetu walioapply vyuo mwaka huu....nikupeni moyo tuu MTACHAGULIWA NA CHUO MTAENDA..inshaalaah nakukumbukeni hata kwenye DUA zangu pia....Mubarikiwe
Habari zenu wana jamvi.....kumekuwa na changamoto za usafir wa majini kufika kisiwani.mafia...inakulazimu.kutumia usafir wa basi paka NYAMISATI..hapo itakulazimu kulala kwenye mazingira magumu ya maeneo.hayo.paka.saa kumi usiku ndipo safari ya MAFIA inaanza kwa kutumia mabot ya mbao....masaa...
........HIVI? ni procedures zip nifuate n napo taka kwenda kusoma MASTERS?..................NA JE? vp kuhusu mzamin maana nilisikia kwmba unaweza pata mzamin kupitia BENK unayoitumia je ni kweli?.......MSAADA TAFADHARI...........
............BABA mmoja alimpaka SUMU kwnye matiti ya mkewe ili mtoto akinyonya AFE maaana al hisi amisingiziwa[sio wake]........kurud kazini kakuta SHAMBA BOY ndo kafa......................KIZUNGUZUNGU
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.