Kwa kuwa naona Mahakama inatoa maelekezo lakini wanayapinga. Au ndio chachu ya kusema nchi isitawalike?
Madaktari --hawakuheshimu maamuzi halali ya mahakama;
Walimu ----- wamesema hawatoheshimu.
kitendo cha kwenda kinyume na amri za mahakama sio ishara njema, na kitatufanya tuwe kama...
Wana Jamvi
Ninasikitika sana na madudu ya TANESCO; kwa kweli Wabunge waliomuunga Mkono Waziri wa Nishati na Madini nawapa pongezi. Wabunge hawa walitoka kwenye vyama vyote; na walisimamia maslahi ya Tanzania.
Aidha; wale waliokula fedha za wauza mafuta na kupinga hatua za Waziri wa Nishati na...
Wana JAMVI
HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA inadai shilingi bilioni mia nane kukamilika. Taarifa hiyo alipewa Mheshimiwa Dkt Seif Rashid alipofanya ziara mkoani humo jana na Mtaalamu wa Chuo kikuu cha Ardhi.
Source Radio One (NEWS 23/07/2012).
Question
800,000,000,000/=...
HABARI ZA KUAMINIKA ZINASEMA KUWA MAALIM SEIF (HARAGE --- JINA LAKE LA UTOTONI) ANAKUSUDIA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR 2015 KUPITIA CUF. HARAGE AMESIKIKA AKITAMBA KUWA YEYE NDIO MANDELA WA ZANZIBAR!!
Hivi CUF hawana Mwanachama mwengine mwenye sifa ya kugombea?
Tumeahidiwa Daraja la aina yake.
Tumeambiwa Mheshimiwa Pombe Makufuli analisimamia.
Tunaamini Sera na Ilani za CCM zitatekelezwa kwenye hili, la si hivyo kutakuwa na Mshike mshike 2015 Kisota!
Muungano wa Tanzania, Haukuja kwa kutania, Viongozi wake walidhamiria, kuimarisha udugu wa asilia;
Hata uamsho wakilia, na hasan nasor moyo kuwasaidia.
BLW pia likiwasaidia, hapatakua na maridhia; Juliasi Mwalimu alituambia, na Sheikh Karume alituusia;
Tumeungana kwa nzuri nia, kutengana...
TASWIRA
1.AMRI YA MAHAKAMA IMEVUNJGOMA. SASA SIJUI KAMA KUNA HESHIMA KWA VYOMBO VYETU VYA SHERIA KWENYE HILI?
2. PINDA NA SERIKALI HAWAJATEKELEZA KWA UKAMILIFU MATAKWA YA MADAKTARI.
3. ULIMBOKA KATANDIKWA KICHAPO AMBACHO SIJAPATA KUONA TANGU KUZALIWA.
4. MGONGANO WA MASLAHI BAINA YA MADAKTARI NA...
Jambo linalonichefua kabisa ni kwamba Rais anapofanya UTEUZI, utaona wachangiaji wanasema amefanya ud*ni.
Kwa Heshima kubwa, nawasihi wachangiaji walilete Baraza la Mawaziri na kuangalia wanao-share imani na Rais ni wangapi na endapo idadi yao inawafunika wasi - share imani na Rais...
Rais ameonyesha ukomavu kisiasa. Wapinzani wako represented kwenye Bunge, na wapo miongoni mwa Watanzania. Ili Rais awe rational, ni vyema akateua mbunge/wabunge kutoka kambi ya upinzani. Aidha, Mbatia ameonyesha ukomavu kisiasa; kafuta kesi against Mdee kule Kawa, ili kuyamaliza kiutu uzima. Na...
ORODHA HII HAPA CHINI
1. RAMADHANI KIJA - ATAHAMA;
2. S. LIKWELILE - ATAHAMA NA KUPATA U KM;
3. MAPUNJO (ATAHAMA) - KURA YA VITI MAALUM ITAMTETEA; (ila kabla hajahama, ATAPATA BARUA YA KUJIUZULU YA EKELEGE)
4. MWINJAKA - ATAPATA UKATIBU MKUU
5. DR. TAX - ATAHAMA;
6. BWANA ULEDI - ATAPATA U KM...
Nauliza hili kwa sababu zifuatazo:-
1. Baada ya Uchaguzi wa 2010, Mheshimiwa Rais alichukua muda mrefu kabla hajatangaza Baraza la Mawaziri; katika kipindi ambacho tulikuwa hatuna mawaziri, Nchi ilizama? Ilididimia? Iliganda? Mawaziri wanakula tu.
2. Kwa Mawaziri wanaotuhumiwa, walishawahi...
Hebu niwaulizeni enyi wana Siasa, wasimamizi wa fedha (finance management specialists), wadau wa kodi na walaji - Hivi inatia akili kweli kusikia Serikali ikitangaza mabadiliko, kama ya punguzo la kodi, misamaha ya kodi, ondoleo la kodi kwenye baadhi ya bidhaa, then bei za hizo vitu zikipaa...
Tanzania ina matatizo mengi. Miongoni mwao ni yale matatu ya ASILI kutoka kwa Baba wa taifa ambayo ni (1) Umaskini; (2) Ujinga na (3) Maradhi. Haya ymeendelea kuwepo kwa kuwa na yafuatayo:-
a) Kuendelea kuwepo kwa RUSHWA.
b) Kuendelea kukumbatia ujinga wa kuchakachua - vyeti vinachakachuliwa...
Naona simsikii sana siku hizi huyu mbunge wa zamani wa karatu. Yupo?
Ana mpango wa kugombea tena urais au atarudi karatu kuendelea na shughuli ya ubunge?
Taifa linajiandaa kusheherekea miaka 50 ya uhuru, kilele chake ni tarehe 09/12/2011. Mimi binafsi kwa haraka naona mafanikio mawili tu
1. Kiswahili kuwa lugha ya kutuunganisha.
2. Muungano [Ambao wenyewe; kuna wasioutakia kheri].
Mengine kusema ukweli imekuwa ni mtihani. Mfano
1. TAZARA - Ni...
Nigerian man called his mom from the USA.
Man: Mom, I have AIDS.
Mother: Don't come back home woo, my son woo abeg abegwoo.
Man: Why mom?
Mother: If you come back home, then your wife will be infected. From your wifewoo to your broda, from your broda to our maidwoo, from our maidwoo to your...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.