Anzeni kuwaomba permit wachina na makaburu kama kweli wanaume. Wanaishi bila permit , wanachukua pembe za ndovu, wanananihii dada zenu hamna cha kufanya.
Na nyinyi mnaoua ndugu zenu Albino ni wa Mashariki ya wapi? Na mnapouana kule mkoani MARA? au kwa sababu hawa sio waingereza? Juzi tu mfanya biashara maarufu kapigwa risasi Arusha, Ni vikongwe wangapi wameuawa kwa tuhuma za uchawi. Msiwe kama nyani, maana nyani daima haoni...............
Kama CCM na CDM wote walikenda kenya kusaidia, CCM amefanikisha ushindi wa Kenyatta Kinana apaswapewew pongezi.
Wembe ule ule aliomnyolea Odinga autumie kumnyolea Padri wa kanisa Katoliki SLAAA.
Hivi kesi ndogo kama hii mnaita FBI , sitaki kuamini kwamba inteligensia ya Tanzania imekua buu kiasi hiki.ninachoamini kuna agenda ya siri. Kanisa linafosi serikali kuleta fitna zanzibar kuvuruga umoja wa wazanzibari . Lakini tunawambia wamechelewa. Wazanzibari haturudi nyuma hata kidogo. Umoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.