Ni vizuri ukatuelimisha umuhimu wa hizo number tuna,
Binafsi nadhani kuna udhaifu wa namna zinavyotengenezwa.
Design inaweza kuwa bora zaidi iwapo plate/ubao wa number ubonyezwe kutengeneza hizo number/herufi kuliko kubandika kwenye ubao either Kwa gundi au screws.
Ni vigumu Kwa number...
Ni choice yake na ndio mtindo wa maisha alioamini kuishi nao.
Sijajua Sheria zinasemaje kuhusu namna nzuri ya mtu kulala...na kama ni mbaya nini athali zake katika jamii hasa inapotokea mwenye kuzifanza kutangaza kwa jamii.
Ni vizuri vitu vizuri vikafanywa kimya kimya itapendeza na kuonesha usikivu WA wenye mamlaka katika kutimiza mahitaji ya Jamii.
Lakini pia ni ngumu Kwa wenye Nia mbaya kutuhujumu.
Prof.Janabi anahitaji Mwanasaiklojia mahili ili amsaidie,yawezekana kuna maradhi yanayomsumbua kiasi ya kutoa tahadhali kwa wengine wasije kuwa kama yeye.
Hata hivyo yuko sawa,ingawa kwa % kubwa ya watu wenye kipato/kima Cha chini na ambazo kazi zao ni tiba tosha ushauri wake hauwafai.
Kumbe walikuwa kwenye mahusiano?
Nakumbuka juzi juzi hapa kuna watu walitukanwa kwa ajili ya drama za Hawa jamaa...
Natumaini hata siku zijazo kuna kujirudia tena kwa masimango kwa watakaoshabikia....
Sababu ni moja tu, Muda haujasema na pengine mbingu bado iko upande wa Mh.Mwenyekiti kuendelea kuhudumu katika nafasi yake kama ambavyo CCM inavyoutumia Utamaduni wao kwa Rais kuhudumu mihula miwili.
Kupanga ni kuchagua na hivi ndivyo ilivyo kwa Nchi nyingi za Kijamaa ikiwemo na sisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.