By kigan: mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29. Elimu yangu ni diploma. Ni muajiriwa wa wizara ya elimu. Umbo langu ni saiz tu si mnene wala si mrefu sana. Dini yangu ni muislam. Naishi zanzibar. Namba yangu ya cm 0773291168. Natafuta mchumba wa kike. Awe mkweli. Muaminifu na mpenda maendeleo...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25-38. Ni muajiriwa wa serikali, umbo langu saiz tu si mrefu sana wala si mfupi sana, ni mweusi kidogo. Natafuta mchumba ili baadae tufunge ndoa. Awe na uwezo wa kuishi popote. Asitumie pombe wala sigara, hata akiwa na mtoto. Ili kuonesha msisitizo namba zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.