huyu muandika thread sijui anadhani watu ni majuha hapa jamvini.na dr.slaa hawezi kuja kujibu huu upuuzi kwa kweli!yaani nimesoma huu ujinga wako mpaka nimekasirika.kanuni za ushahidi wa sheria zinasema mtu anayetuhumu lazima adhibitishe bila kuacha shaka lolote,Na circumstancial evid.zako za...
na hao watu mnaotaka wawe mababa wa taifa walikuwa hana elimu kabisa wakaona aibu kwenda UN,wewe unadhani unaweza kwenda UN na elimu ya madrasa?nyie inabidi mkubali nyerere alikuwa noma,hana elimu ya kuungaunga
wewe mtoto wa malecela unakera,nimesoma mawazo yako hayana msingi,bora urudi ulaya!tumechoka na kuwa na watoto wa vigogo wasio na hekima wewe na nape mna IQ sawa,tatizo mnabebwa na majina ya wazazi wenu!umuwezi mnyika nenda kwenye website ya bunge uangalie takwimu uone ni mbunge gani kinara?jibu...
mimi kinachonikera ni wadada mwasomi mkikosa pesa mnawaza kujiuza.inasikitisha sana usomi wenu siuoni kama hamna maadili.ndio maana nasikia eti hata hapa dar wanavyuo wanajiuza!...kwa mwendo huu bora tusiwe na vyuo vikuu,sisi tunadhani tuna vyuo vikuu kumbe tuna madanguro!
Na hao wanaokashifu dini nyingine wajiulize maswali yafuatayo:(1)Tangu waanze kukashifu wamepata waumini wapya wangapi?(ii)Je kukashifu au kutukana dini ya mtu mwingine ni njia nzuri ya kuoneza dini yako au ni kuonyesha inferiority complex , elimu ndogo uliyonayo ya kujenga hoja,na kuwa roho wa...
Hahaha.This is one of the poorest thread ever!nenda kwenye blog ya mnyika facebook uone tulivyompa tano kwa kuongea ukweli kwamba Rais kikwete''kama taasisi'' ni dhaifu.Na jamaa kuonyesha sio mnafiki akayarudia maneno yaleyale kipindi cha baragumu kinachorushwa na channel ten asubuhi.unafiki...
Na wahaya tunatukaywa sana!kwa kuogopwa kwamba tunaunyanyasaji tunataka kujua tuko wengi kiasi kwa kujilinganisha na wasukuma.na tuna degree,masters na PHD ngapi?Pia kama kanda ya ziwa,nyanda za juu kusini na mikoa ya kaskazini kama ina waislamu tujue(maana ndio tuna watu wengi).Pia tunataka...
Wakati najiunga ilboru 1997 mwigulu alikuwa form four nadhani na alikuwa kiranja wakati Gaki akiwa ndio kaka mkuu.Gaki alikuwa mnoko sana mpaka waalimu walikuwa wanamuogopa!Na mwigulu alikuwa mnoko sema alikuwa haongei sana maana siunajua Kiingereza tena kwenye matangazo ya asubuhi hahaha.Na...
hizi topic za udini zinaniboa.kila siku mnalalamika mou,mou.jengeni na nyinyi hospitali za rufaa kama kcmc na bugando!na pesa mnazo?mnaboa bana kama mnadhani kuwa wakristu wanapendelema badilisheni dini muwe wakristu.maisha sio tambarare bana.mwenzenu Agha Khan wa dhehebu la kislamu la islaimi...
Kikwete atachoka mwaka huu.Ni bora awe anaenda zake kubembea Jamaica na kumuona 50 cents kila baada ya mwezi maana hii nchi kila siku watu wanalete tu matatizo na kumpa stress.Sema nashukuru rais ni muislamu atajua jinsi ya kudeal nao.naogopa ban ningeongea ukweli mwingine ambao ungeudhi...
Na cha kusikitisha watu wa kawaida elimu ni ndogo sana.Huu mji wa zanzibar maeneo ya mjini kuna nyumba zilizoezekwa na nyasi.Watu badala ya kuongelea jinsi ya kujikwamua na umasikini wao kila mahali wanaongelea tu Muungano?Wao kila kitu wanalaumu Tanganyika.hata leo Muungano ukivunjika watabaki...
Kwa mtu msomi wa sheria kama mimi ninayejua sheria za kimataifa sitakataa kwamba hili nchi iitwe nchi inabidi vitu vikuu vitatu vifuatavyo viwepo(i) serikali,(ii)jeshi na (iii)kutambulika kimataifa.Mipaka ya nchi sio Muhimu maana Israel ni nchi lakini haina mipaka rasmi.Na Ukubwa sio Muhimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.