Search results

  1. F

    Nyerere alivyoulemaza ukoo wake kwa kuuzoesha kutegemea ufadhili

    Ukishasoma majibu ya Kiranga hapo juu, utakubaliana na mimi kuwa unasema utumbo mtupu hapa.
  2. F

    Mramba: Another Challenge!

    Notburga Maskini anaendelea kujibu hoja (nanukuu tena): (3) Baadhi ya mambo yanayoashiria tabia na mahusiano yangu ni kama yafuatayo:- 1.0 Kukubalika katika makundi ya watu wa aina mbalimbali: 1.1 Sehemu kubwa ya maisha yangu kuanzia shuleni, utumishi na jamii nimekuwa kiongozi. Hali hii...
  3. F

    Mramba: Another Challenge!

    Notburga Maskini anaendelea kujibu shutuma dhidi yake (nanukuu): (2) Mzitokabwela: Anaogopwa kama shetani ni mbabe na mtishaji, hana PR Jibu: Siogopwi wala simtishi yoyote. Huenda Mzitokabwela na wenzie ndio wananiogopa. Cha ajabu pamoja na shutuma nzito, alizotoa, Mzitokabwela ametakiwa...
  4. F

    Mramba: Another Challenge!

    Nimefanya utafiti kuhusu baadhi ya shutuma dhidi ya Notburga Maskini, na nimefanikiwa kupata majibu ya baadhi ya shutuma hizo. Mwenyewe anaeleza (nanukuu): Mzitokabwela anatoa shutuma hizo kiujumla mno. Inategemea yeye ananifahamu katika masuala gani. Nijuavyo mimi ni mtu wa kutumainiwa...
  5. F

    Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

    Sijaelewa kitu kimoja. Sijaona Masha kutajwa kwenye taarifa ya Mengi. Au Mengi alimtaja sehemu nyingine?
  6. F

    Idi Amin Dada: Mazuri na Mabaya ya utawala wake

    Tatizo la uongozi mbovu kwa ujumla unatufanya kuona kuwa Amin alikuwa kiongozi mzuri. Angekuwa ametupa jamaa zetu mtoni kuliwa na mamba sijui kama hoja hii ingejitokeza.
  7. F

    Rais Kikwete na safari za nje

    Kuna habari kuhusu safari za nje za aliyekuwa rais wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, ambazo ziliandikwa kwenye gazeti la RAI la Novemba 27 - Disemba 3, 2003 (wakati bado linamilikiwa na Jenerali Ulimwengu na waandishi wenzake, na kabla hawajauza hisa kwa Rostam Aziz na wafanyabiashara wenzake -...
  8. F

    Community airlines ni ya nani?

    Mzalendo Halisi, Community Airlines haitasaidia kuamsha ATC, itasaidia kuimaliza. Unafikiri kama kweli ni ya Diallo, kila akitaka kusafiri na ndege atamwambia katibu wake ampangie kwenye ATC? Hapana, atamwamabia ampangie kwenye shirika lake. Au atakaposhiriki kwenye baraza la mawaziri...
  9. F

    Kenya’s election crisis is the latest setback for African Democracy

    The Economist has taken the bull by its horns. Instead of beating around the bush, it has identified the problem as Kibaki's undemocratic conduct of ignoring the will of the Kenyan people. It is true, how do the same people who voted for an overwhelming number of opposition party...
  10. F

    2008 Kwa Mujibu wa Shetani

    Sasa nimeelewa maana ya rangi ya bluu kutanda kwenye hizi kurasa. Kumbe JF taasisi rasmi ya CHADEMA?
  11. F

    Kuna haja ya kutumia mabilioni ili kuileta hii timu?

    Nchi ina matatizo mengi ambayo yanahitaji ufumbuzi. Badala yake Serikali inakimbilia kuleta timu na kutafuta sifa ambayo haimsaidii Mtanzania zaidi ya wachache ambao watawalaza Real Madrid, kuwalisha, na kuwaendesha wakifika Tanzania. Na hao watakaofaidika wanaweza wasiwe Watanzania.
  12. F

    MZUNGU ana access ya siri za serikali

    Mtu kuwa Mtanzania na kuwa mzalendo ni mambo mawili ambayo siyo lazima yaambatane.
  13. F

    Uranium Mining Projects In Tanzania: Progress...

    Inawezekana kabisa. Mimi sioni hofu ya nini. Nishati inayotolewa na makaa ya mawe ina tatizo kubwa la 'pollution'. Maji nayo, pamoja na kwamba yanatoa umeme wenye gharama ya chini sana hayaji tunapoyahitaji (mvua). Nishati ya jua bado ni ghali sana. Kuna sehemu za Tanzania ambazo zina upepo...
  14. F

    Ya Kweli Haya? Amua Mwenyewe

    Sijui kama habari hizi ni kweli, lakini kama ni kweli Watanzania tuna hali mbaya. Yasemekena kuwa kwenye kikao cha Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kilichochagua uongozi mpya kilichomalizika Dodoma hivi karibuni Waziri Mkuu Edward Lowassa, na Katibu Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba...
  15. F

    Kenya Election 2007: Outcomes

    Siku CCM ikishinda uchaguzi kwa kura chache, haya yaliyotokea Kenya yanaweza kutokea Tanzania. Sehemu nyingine tutachinjana kwa misingi ya kabila, sehemu nyingine kwa misingi ya vyama.
  16. F

    Rais Kikwete na safari za nje

    Mbona Lowassa mnamwacha? Wekeni wote, kwa safari za ndani na nje. Halafu mwisho wa mwaka tathmini 'nani zaidi'.
  17. F

    JK atakuwa Berlin Feb 14 wanaomba majina ya washiriki

    Kwa nini msimpigie simu tu kumuuliza mpaka mmsubiri Ujerumani? Nasikia watu wengi wanayo namba yake, na nasikia awali alikuwa anapenda kujibu maswali ya wananchi moja kwa moja.
  18. F

    Kenya Election 2007: Outcomes

    Kuna habari nimeiona inasema kuwa Samuel Kiviutu (head of Electoral Commission of Kenya) amekaririwa akisema hajui kama Kibaki alishinda uchaguzi. Anasema alilazimishwa na wakubwa kutangaza mapema matokeo. http://uk.news.yahoo.com/rtrs/20080102/tts-uk-kenya-2c15123_1.html
Back
Top Bottom