Sikiliza Pasca,ile meli ambayo inachimba gesi ndani baharini tanzania inalipa 2.2 bilioni kwa siku na kumbuka imeshakaa sasa miezi 9 mule baharini,hii ni hesabu aliyotoa muheshimiwa Membe katika sherehe ya kuukaribisha mwaka mpya nyumbani kwake Rondo-Lindi(Nilikuwepo).Lakini hajaongelea mkataba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.