Search results

  1. chaUkucha

    INAUZWA Popcorn machine ya umeme inauzwa

    Ya gas unayo?
  2. chaUkucha

    I am looking for my future husband

    Hiyo ni Siri ya kambi mkuu, tutavamiwa na maadui....!!!
  3. chaUkucha

    I am looking for my future husband

    Mwanamke sio wa kumuamini, za kuambiwa changanya na zako!
  4. chaUkucha

    I am looking for my future husband

    Maneno yanaumba, huyu lazima atakuwa mtata mark my words...!!!
  5. chaUkucha

    I am looking for my future husband

    Vip kuhusu umri umesema kuanzia 26 me Nina miaka 63 ninafaa???
  6. chaUkucha

    Hatimae Mwezi huu (Agosti, 2021) nahamia kwangu ili niwe huru kupiga muziki kwa sauti ya juu

    Me bado nimepanga ila juzi nimenunua sofa kali nifanyeje ili majirani wajuee[emoji12][emoji12]
  7. chaUkucha

    Naomba kujuzwa dawa ya jino bila kun'goa

    Ngoja nijaribu hii[emoji44][emoji16]
  8. chaUkucha

    Naomba kujuzwa dawa ya jino bila kun'goa

    Duh! huo mti kuupata sasa!
  9. chaUkucha

    Naomba kujuzwa dawa ya jino bila kun'goa

    Huenda shida haiko kwenye jino. Umesoma nilichoandika awali
  10. chaUkucha

    Naomba kujuzwa dawa ya jino bila kun'goa

    Miaka ya nyuma nikiwa mdogo meno mawili ya juu ya mbele yaliweka tobo nikapelekwa hospitali wakaziba kilichotokea pale walipoziba siku zilivyokuwa zinaenda pakabanduka alafu pakatengeneza kama mwanya mpaka saiv hayo meno mawili yamepukutika yenyewe na kubaki pengo bila kuuma bila kun'goa Kama...
  11. chaUkucha

    Naomba kujuzwa dawa ya jino bila kun'goa

    Meno yangu karibu yote ni mabovu Kama ni kun'goa labda nin'goe yote niweke ya bandia
  12. chaUkucha

    Naomba kujuzwa dawa ya jino bila kun'goa

    Huyo ndo ananifaa ila me nipo Dar
  13. chaUkucha

    Naomba kujuzwa dawa ya jino bila kun'goa

    Basi na mimi nitafariki maana meno yangu karibu yote ni mabovu huwa yanalegea bila kuuma na kutoka yenyewe ila hili linauma na Kuna lingine ukiligusa linauma pia
  14. chaUkucha

    Naomba kujuzwa dawa ya jino bila kun'goa

    Nilizibe na nini sina hakika Kama limetoboka ila linauma sana
  15. chaUkucha

    Naomba kujuzwa dawa ya jino bila kun'goa

    Mimi nataka tiba ya asili sipatani na hospitali mimi
  16. chaUkucha

    Naomba kujuzwa dawa ya jino bila kun'goa

    Nasumbuliwa na jino linauma balaa sitaki kulin'goa maana mapengo niliyonayo yanatosha, alafu Kuna mtu kanitisha kaniambia ukienda kun'goa jino umri huu 30+ unaweza kupata shida kwenye macho. Kama Kuna mtu anajua dawa ya jino anisaidie jana sijalalaa, nikila chakula cha moto maumivu maji ya...
  17. chaUkucha

    Wazazi wanavyochangia umasikini

    Sasa unakuta dingi yeye ni ubabe tu kwa mtoto hakuna cha upendo wala amani mwishowe mtoto anakuwa kibaka au jambazi kabisa fuatilia familia za vibaka na wale wadada wanaojiuza utagundua shida kubwa sana kwenye malezi ambapo chanzo ni wazazi.
  18. chaUkucha

    Wazazi wanavyochangia umasikini

    Nakubaliana na wewe na huyu mzazi unayemzungumzia hapa ni baba na ana jina lake lingine anaitwa dingi na domokaya na man dojo walimuimba kwenye nyimbo yao. Aina hii ya mzazi ni wanoko, bandidu na ni wajuaji sana na hata ukiwaita wajinga ni sawa tu!
  19. chaUkucha

    Jeshi la Polisi limeshindwa kuwakamata wavuta bangi uwanjani MECCO Kunduchi Mtongani

    Halafu wezi wa mtongani kunduchi wanalindana sana kama ni mwenyeji akidakwa anapelekwa polisi Kama ni mgeni akidakwa wanauaa[emoji57]
  20. chaUkucha

    Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

    Godoro lina kungunii wanaficha aibuu
Back
Top Bottom