Kwanza hao Suma Jkt sioni wanachofanya ni wakorofi kwa abiria tatizo hawana elimu ya uraia , pili wameshindwa kuwaondoa wauza karanga , pipi umri wa kwenda shule , wavuvi wa mshipi , watoto waogeleaji haswa asubuhi jumatatu , tatizo wakubwa wako busy na uchakachuaji hawataki electronic machine...
Hana nia njema na wakenya nawaonea huruma kwa kuchagua mtu anayekwepa responsibility bora ya kibaki na Raila mtanikumbuka . Dhamana ya nchi anapewa mtu na si familia
Mimi nimejiunga muda nimeanzisha threads vzr na kuchangia kwa muda mrefu lkn sikuhizi nikituma post haiwekwi au naambiwa sitambuliki kama kuna gharama mniambie kuliko kuninyima kuchangia au kuanzisha uzi ? Kama kuchangia tupeni taratibu ili tu qualify kujumuika na wenzangu kuna matukio mengi...
Ccm kweli wameshindwa kuongoza nchi masikini hana chake watembea kwa miguu wataongezeka , kwani lzm kutumia mafuta ? Gesi yatosha na wanafunzi irudi 50 mkubwa 150 kwa Dar
Atasubiri sn , hakuna mtu aliyekuwa waziri mkuu akawa rais toka tupate uhuru , muulize Raila Odinga kilichomkuta . tupo 45 million tunataka Sura mpya , mawazo mpya . Acha copy & pest
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.