Search results

  1. M

    Kesi ya Lissu na wenzake: Makinda ahalalisha maamuzi ya Ndugai, aingiza kipengele kwenye kanuni

    Hakuna kanuni ? Wamekurupuka ? Aibu , ubabe wote silly season
  2. M

    Mamlaka ya ulinzi kivukoni Kigamboni watu hawa vipi?

    Kwanza hao Suma Jkt sioni wanachofanya ni wakorofi kwa abiria tatizo hawana elimu ya uraia , pili wameshindwa kuwaondoa wauza karanga , pipi umri wa kwenda shule , wavuvi wa mshipi , watoto waogeleaji haswa asubuhi jumatatu , tatizo wakubwa wako busy na uchakachuaji hawataki electronic machine...
  3. M

    CHADEMA Kidedea Urais SAUT

    Hongera Chadema hongera Devocatus wasomi wanajitambua pesa za magamba msirudishe Peoples.......z
  4. M

    Mh. Mbilinyi (Sugu) alipuka bungeni

    Kingwadala anajijua harudi bungeni , mwigulu hali mbaya jimboni
  5. M

    Kangi Lugora ahofia wabunge wengi wa CCM kutorudi bungeni 2015

    Ccm kwishiney , Leo wabunge mbili haikai tatu inachomoka mbele giza , wizi wa kura wananchi wameshituka
  6. M

    Saumu aomba ulinzi wa CCM!

    Watupe vitambulisho vya utaifa haraka tuwang'oe haraka
  7. M

    Wabaya wa CHADEMA wavurugana!

    Kazi ya ccm itakuwa kukanusha lkn haita saidia bora watubu kwa kuwafukarisha wa tz kwa miaka 50 na kuwaomba msamaha na kukabidhi nchi
  8. M

    Picha za kuapishwa kwa Uhuru Kenyatta na akiwa kazini.

    Hana nia njema na wakenya nawaonea huruma kwa kuchagua mtu anayekwepa responsibility bora ya kibaki na Raila mtanikumbuka . Dhamana ya nchi anapewa mtu na si familia
  9. M

    Tunduma: Jeshi la polisi lawasaka mchungaji na diwani

    Kesi ya ponda si ya mfano , tatizo la waislam kwa waislam wakristo wanaingiaje hapo ?
  10. M

    How to use JamiiForums effectively

    Mimi nimejiunga muda nimeanzisha threads vzr na kuchangia kwa muda mrefu lkn sikuhizi nikituma post haiwekwi au naambiwa sitambuliki kama kuna gharama mniambie kuliko kuninyima kuchangia au kuanzisha uzi ? Kama kuchangia tupeni taratibu ili tu qualify kujumuika na wenzangu kuna matukio mengi...
  11. M

    SUMATRA watangaza ongezeko la nauli, kuanza kutumika Tarehe 12 Aprili 2013

    Ccm kweli wameshindwa kuongoza nchi masikini hana chake watembea kwa miguu wataongezeka , kwani lzm kutumia mafuta ? Gesi yatosha na wanafunzi irudi 50 mkubwa 150 kwa Dar
  12. M

    Naibu Waziri Elimu katika kashfa vyeti

    Kwa kuwa mwandishi hakuficha jina "na mwandishi watu" basi hii habari ya kweli tena wapo wengi kama msako ufanye kwa wote ukienda bandari utalia
  13. M

    Data za kisayansi katika video inayohusishwa na Lwakatare

    Mtahangaika sana mwaka huu , humpati mtu magamba imekula kwenu .
  14. M

    Ushahidi wa Uhuru Kenyatta na viongozi wengine wa kiafrika walivyoharibu uchaguzi Kenya

    Inatisha , na kinana huko China anatafuta nn , soo la pembe za ndovu .
  15. M

    New Series I: Madudu na sifa za Edward Lowassa!

    Atasubiri sn , hakuna mtu aliyekuwa waziri mkuu akawa rais toka tupate uhuru , muulize Raila Odinga kilichomkuta . tupo 45 million tunataka Sura mpya , mawazo mpya . Acha copy & pest
  16. M

    Naungana na jamii ya kimataifa kutompa ushirikiano mheshimiwa Uhuru Kenyatta

    Kwann wakenya wapangiwe rais ? Chaguo Lao ni Uhuru sasa vikwazo via nn ? Mm mwenyewe nilimkubali Odinga lkn kura hazikutosha naheshimu maamuzi yao .
Back
Top Bottom