Hivi ukiweka sukari yako godawni , ndio umeficha?....mtu kanunua sukari kiwandani tena kailipia kila kitu na risiti kapewa, hajaenda kuchukua sukari yake, mnasema kaficha? hivi mnaelewa maana ya kuficha kitu?
Prof Lipumba, leo amefanya mkutano mkubwa lindi.
Ame sisitiza wana lindi wasiichague ccm, kwasababu ccm ndio chanzo kwa watu wa kusini kuwa masikini...
Prof amesisitiza wana lindi kuchagua vyama vinavyo unda ukawa kama mbadala wa ccm....
Amesisitiza hakuna kukubali kuibiwa kura tena...
KIAMA CHA CCM UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA.
UKAWA kuchukua nchi 2015 Maalim Seif aendeleza mashambulizi mkoa wa Dar es Salaam,
Mbowe yuko morogoro na CHOPA maCCM wanachanganyikiwa na fomesheni ya UKAWA.
Prof Ibrahim Lipumba ateka kusini apiga mikutano 5 hadi 6 kwa siku ni kijiji kwa kijiji...
Prof Lipumba, yupo ktk ziara mikoa ya kusini, leo (saiv )anafanya mkutano mkubwa Newala.....
Mkutano wa newala wa leo ulitanguliwa na mikutano ilofanyika mkuranga, rufiji na kilwa...
Ktk mikutano yote prof anasisitiza watanzania waunge mkono UKAWA, Na waiangushe ccm, ktk chaguzi zinazo...
Kwani kunatofauti gani kati ya kuungana kwa lengo la kuitoa ccm, na kuungana kwa lengo la kumletea maendeleo mtanzania!!!
kama ukitafakari vizuri tu, utaona kuwa hakuna tofauti....
Huwezi ukawa na mpango wakuwaletea watanzania maendeleo, halafu ukawa unataka ccm iendelee kubaki madarakani!!!
Acha uongo.
Nenda kachukue book 7, yako lumumba, kwa kuropoka humu jf...
Kama unaona maisha magumu anza kubeti ktk ligi ya FA, au UEFA, kama baadhi ya vijana wenzako!!
Kuliko kufanya kazi hio, mwenyewe unaamini eti unamdhalilisha prof Lipumba...
bet mipira na wewe!!, ndio ajira mpya hizo za...
Prof Ibrahim Lipumba ATANGAZA "OPERATIONI DELETE CCM 2015"
TUTASIMAMISHA MGOMBE MOJA WA UDIWANI, UBUNGE NA URAIS-
Prof Ibrahim Lipumba amese UKAWA wanaendele na majadiliano na tayari kunamafanikio makubwa ili kusimamisha mgombea moja kwa kila ngani kuanzia udiwani, ubunge na urais 2015.
"CCM...
SAFARI YA MAMLAKA KAMILI NDIO KWANZA INAIVA!
TANGAZO!
Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Chama cha wananchi CUF kinawatangazia wanachama, wapenzi na wazanzibari wote wa mikoa mitatu ya Unguja, wazalendo na wapenda nchi yao kwa jumla kuhudhuria kwa wingi katika...
TANGAZO
Katika kikao cha Baraza la Wawakilishi kitakachofanyika Tarehe 22/10/2014, Baraza la Wawakilishi la Zanzibar linatarajia kupitisha Miswaada miwili ambayo ni; Mswaada wa Sheria ya Madaili ya Viongozi wa Umma na Kuanzisha Tume ya Maadili ya Viongozi na Mambo mengine yanayohusiana na hayo...
Wafuasi wa shekh ponda, walipo andamana bila kibali hadi kwa dpp, ili shekh apewe dhamana ambayo ni haki yake kisheria....
, waliokamatwa ktk maandamano hayo walihukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.