Mtu kasimama mlangoni anamwamuru dereva asifungue mlango, haya dereva kanyooka hadi kimara bado wanamlaumu dereva kwa kutofungua mlango, gari limeandikwa express wanajua hilo likitoka faya kituo cha kwanza kimara bado mtu kapanda, inaonekana kuna shida mahali katika jamii yetu
Abiria nao wa hovyo, unakuta mtu kasimama kashikilia mlango ukifunguka anaruka nao kama kambale kanaswa na ndoano, anaona kabisa pameandikwa usisimame hapa yeye ndio anasimika milonjo yake, wengine wanasimama kwenye kisahani cha maungio anakuwa anazunguka kama dracula, halafu watu wa dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.