Duka la vifaa mbalimbali na vyakula vinywaji na bidhaa za ndani linauzwa hapa Tabata Sigara, lipo eneo zuri na ni kubwa kwa thaman ya shiling millioni 8 ila maelewano yapo. Kwa kujiakikishia njoo ulione mwenyewe. Call me 0652740304.
kwa yoyote ambae anamfaham mwanafunzi mwenye wastan wa A . awe kidato kuanzia cha kwanza mpaka cha tatu .bright.tunatoa scholarship kwa kmsomesha full na kumlipia kila kitu.this scholarship imedhaminiwa na camel foundation turki.mashart awe mvulana.call me 0652740304
duka rejareja linauzwa na kila kitu chake.kwa anaetaka maendeleo kuna duka la vifaa mbali mbali,soda,nafaka,sabuni na vifaa vyote unavyovijia kwa matumiz ya kila siku linauza.duka lipo maeneo ya tabata barakuda linatazama barabara.bei ni poa tuu.call me plz 0652740304
Shule ya secondary compassion missionary sec school inaitaji mwalimu wa masomo ya chemistry na biology.shule ipo morogoro wilaya ya kilombero.dead line 1 december 2014 12.00p.m kama upo tanyari njoo sasa upigwe interview
Mimi ni mwalimu niliemaliza chuo kukuu cha dar es salaam masomo ya science chemistry na biology na gpa ya upper second average ya mwaka wa kwanza na wa pili ila natarajia kumaintain au kupandisha gpa endapo matokeo yakitoka hapo august.natafuta tempo work
Naitwa ally nauza ofisi ambayo mwanzoni ilikuwa ni sehemu ya biashara ya kuuza vifaa vya simu,kuburn,kutengeneza cm na kuingiza nyimbo ktk cm,ofisi ipo tabata liwiti,ina computer,blower,feni,kiti,vifaa vyote kama housing na vya matengenezo,imelipiwa mpaka mwezi wa 11.kwa anaehitaji bei ni laki...
Nauza ofisi ambayo ni sehemu ya fundi cm ipo maeneo mazuri kwa biashara nimeshindwa kutokana na kukosa fund cm mzuri na mwaminofu,call me0652740304 pia kuna cm kama htc8s,huwawei na sumsung glx s2
naitwa ally ni mwanafunzi wa UDSM mwaka wa tatu nauza simu aina tofauti kama sumsung galax s1-250,s2-350,s3-650,s4-850,note 1-450,note 2-700,note 3-mil1.3,pia kuna huawei 150,sumsung duos 250,na digital camera cassio 16mplx-300,(3digits means laki) call me 0652740304
nyumba inapangishwa maeneo ya tabata posta kwa bei poa ni self dining,vyumba full tiles ni mpyaa na master full parking ipo ndan ya geti call me 0652740304.nyumba ipo near barabara
nauza simu aina ya htc sencer good condition kwa bei poaa tuu laki 3 tu,simu iko poa pia kuna digital camera from uk casio yenye 16gb lens 12.1 ,16.2mplx na full package ni yakucharge ipo ktk box haijatumika call me 0652740304
nyumba self and master inapangishwa maeneo ya tabata liwiti ,nyumba ipo barabarani ina geti,umeme maji na kisima cha ndani,vyumba 3 master ,jiko na vyoo vya ndani,self luku and parking za kutosha,call me 0652740304 ally,nyumba ni mpyaaaa
am ally from udsm nauza digito camera aina ya casio 16.1megaplx na lens 12.5zoom memory ya 16gb na kila kitu chake ni mpyaaa kabisa hazijatumika bei ni lak 3.5,cmu aina ya htc yenye 3g nei ni laki 3,call me 0652740304
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.