Search results

  1. N

    Natabiri tu. Baada ya uongozi wa Rais Samia, Waziri Mbarawa anaweza kushitakiwa

    Karibu tutaongea lugha moja,kinga tasiri yake nini, nipale mwenyekinga anapofanya maamuzi kwa maslahi ya Taifa kwa dhamana aliyopewa bilakuwepo viashiria vya bakshish,zawadi au aksante yoyote kwanamna yoyote ile ,vinginevyo aminajisi hiyo kinga na anastahili kushitakiwa kama nakosea naomba...
  2. N

    Ni uwendawazimu na ukichaa kuyaamini maneno yanayotoka katika mdomo wa Tundu Lissu

    Ndugu yangu inaonekana hujui mambo ya siasa ila elewa siasa haina rafiki wala adui wa kudumu, leo hii wakina halima mdee wanatetewa na wana ccm wengi lakini ikitokea chadema wakasema wamewasamehe na ni wanachama halali hapo ndio utajua hujui(siasa ni mchezo mchafu)
  3. N

    Kinana: CHADEMA Rais Samia amewapa Ruzuku wao Wanazunguka kumtukana, Wabunge wetu wanalipwa Mishahara midogo tukisema tuwaongeze mtapiga kelele!

    Sii kwamba hakuwapa bali Chadema wenyewe walisusa lkn baadae wakatafakari nakuona ni vema wapokee ili waendelee kujenga chama chao
  4. N

    Mkataba wa kuendesha Bandari za Tanzania wa DP WORLD ya Dubai hautazihusu Bandari za Zanzibar

    napata wasiwasi kama hao waliopitisha walipata mafunzo ya JKTkuwafanya wawe wazalendo
  5. N

    Tundu Lissu kama JPM, ni mtu mkweli. Asema ukweli jinsi ukomo wa uongozi ulivyoyeyuka CHADEMA

    hapo ndio tunahitaji sheria za uchaguzi kufanyiwa marekibisho,tume ya uchaguzi ipange na kusimamia uchaguzi na mwisho imtangaze mshindi tu swala la kupitisha wagombea wapitishwe na vyama husika, na hatimaye wananchi tupige kura kumchagua kiongozi tunayemtaka
  6. N

    Je, kuna faida gani ya kuwa na mikutano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi?

    "Mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi"jambo moja unalotakiwa kujua KATIBA ni sheria mama jambo lililokubalika ndani ya katiba hakuna wa kubatilisha na ukiona kiongozi anabatilisha yaliyomo, jua kuwa hayo ni matumizi mabaya ya madaraka.Ili kubatilisha jambo ndani ya katiba unapelekwa mswaada...
  7. N

    Toka 2000 CCM imebadili Wenyeviti mara 4, CDM na CUF hakuna

    kwakuwa wewe unakerwa na kutobadilisha wenyeviti sehemu sahihi ni mahakamani wingi wa kesi sio tatizo kwakuwa ndio kazi yao wakiona kesi yako haina mashiko wataitupilia mbali lao wakiona inamashiko watatoa maamuzi sahihi kwa vyama husika
  8. N

    Toka 2000 CCM imebadili Wenyeviti mara 4, CDM na CUF hakuna

    Ushauri wa bure nenda kalalamike mahakamani au kwa msajili wa vyama.
  9. N

    Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

    hapana labda awekwe kwenye kitengo cha propaganda kama marehemu Tambwe Hiza
  10. N

    Mbowe apumzishwe kwa lazima, imetosha. Chama apewe mtu mwingine

    Ushauri wako umepotea njia kamshauri msajili akifute kama hakina vigezo.swala la kuwa amekaa muda mrefu njoo uchukue fomu kura zikitosha atakupisha hiyo ndio demokrasia mwisho nikushauri wapelekee watunga sheria watunge sheria ya ukomo wa mwenyekiti madarakani
  11. N

    Halima Mdee: Mbowe alikuwa anatafuta huruma tu, hajawahi kuzungumza na Wazazi wangu

    hao unaosema wanajua kutunza watu elewa wanawatunza si kwakuwa ni wanachama tu bali ni sehemu ya serikali,kumbuka wamekula kiapo kutunza siri za serikali sasa unamwachaje mtu kama huyo aende anavyotaka tu" tafakari"
  12. N

    Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu akutana na Mhe Joseph Mbilinyi (Sugu) akiwa ziarani mkoa wa Mbeya

    CHADEMA HAWAWEZI KUMFUKUZA ILA NINAMASHAKA CHAMA PENDWA KITAGAWA JIMBO AS SIMPLE AS DAT
  13. N

    KUB kupangua Baraza Kivuli la Mawaziri, Zitto kuwemo?

    Kila jambno na wakati wake ndio maana hata kwenye mpira kuna muda wa kusajili pia kuna usajili dirisha dogo.
  14. N

    Wassira: Nyalandu ameanza kuwapigia simu baadhi ya viongozi wa CCM

    huyu mzee ni wakumuombea na kuhurumia maana hakuna kitu kibaya mkoani mara kama mwanaume kushindwa jambo na mwanamke anayeunga mkono vita ya ukeketaji.
  15. N

    KISUTU: Tido Mhando afikishwa Mahakamani, asomewa mashtaka matano na kuachiwa kwa dhamana

    mahakama ndio yenye uamuzi mtuhumiwa gani akae ndani kwa usalama wake au nani apewe zamana zisiingiliwe na viongozi au wanasiasa
  16. N

    KISUTU: Tido Mhando afikishwa Mahakamani, asomewa mashtaka matano na kuachiwa kwa dhamana

    MAWAZO UJENZI Naomba kibali kwa mwenye dhamana nisome habari hii hadi mwisho maana inagusa fedha za walipa kodi,
  17. N

    Jamani Maulid Said Mtulia ana matatizo gani?

    mtulia ni tatizo dogo sana tatizo kubwa niunafiki wa chama dola kilichomsimamisha. serikali ya ccm ilishindwa nn kuleta maendeleo kinondoni wakishirikiana na mbunge huyo huyo akiwa cuf eti hadi ahamie ccm ndio maendeleo yapatikane!!!!!!! kwahiyo inadhihirisha wazi palipo na mbunge wa upinzani...
  18. N

    Kumbe Lazaro Nyalandu anakimbia mambo !!

    usilishe watu maneno peleka ushahidi mahakamani ndio itamtia hatiani nasivinginevyo
Back
Top Bottom