mkjj.....
naamini JK ataingilia tena hili suala na kuokoa wa-tz haswa ukizingatia MZAA CHEMA wake au BABA MKWE WAKE yumo ndani ya kundi hilo.by the way inasikitisha sana.
i always nakumbuka maneno ya mzee ES kuwa JK amezungukwa na WAHUNI,wababishaji na matapeli watupu.
choveki...
MTU WA PWANI......
moja kati ya sifa ya CCM ni kila mwaka kuja na MBINU mpya,usione wamekaa kimya tu hao,wanatafuta mbinu kushinda tena 2010.
CCM kiboko yao PEMBA tu basi,unakumbuka ule uchaguzi wa marudio znz? CCM anapata kura 1000 YES ,kura 6000 zinasema NO.
mzee ES......
ru serious kweli?yaani wapewe akina mkjj?mhhhhh nina wasi kwa hilo,unajua hizi siasa za TZ ni kuganja njaa tu.tumeshawaona wengi tu walikuwa wasemaji wazuri sana lakini walipopewa madaraka wakafunga midomo,zaidi ya kupeleka watoto wao kwenda S.AFRIKA kusoma na wao wenyewe kila...
unajua mwisho wa hawa watu 2 utakuwa nini?at the end MKUU WA KAYA WA HULL UNIVERSITY ataamua kuachia ngazi na kuwaachia CW na ZK hapo tena ndio uwanja utakapokuwa hautoshi.
tusubiri tuone.
DUA SAID..........
kwi kiw kiw,wewe ndio DUA SAID ulokuwa ukichezea small simba ya znz then ukahamia SIMBA?
turudi ktk thread yetu,safi sana kama yupo BONGO,tuendelee kumkomalia nyani.
mwafrika kike.........
acha kumtisha RAIS,wewe kama ungekuwa jemadari kweli ungerudi TZ na kuingia ktk SIASA kama sisi vile,tumeshakula kiswago sana kwa FFU lakini bado tunapeta tu.acha kelele zako ktk JF.
atafutwe mzanzibari mmoja apewe kwani zamu yao au vipi.
kwani kiujumla imekuja onekana wa-zanzibari ni watendaji wazuri sana and zaidi ni waaminifu.
mfano abdul salam,dr omer ali juma(marehemu),omer yussuf etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.