mimi nilifaka ofisin kwao nikaongea na dada moja anaitwa misha tradecarview ni wajapan. Jordan ni watanzania wenye ofisi japan wana licence kutoka wizara ya viwanda na biashara uwezi kupewa kama ulipi kodi mim kama mim niliwaami(paytrade)ni pesa sio bure unailipia lakin biashara ni imani siwezi...
Jordan wako kikazi zaidi wanafanya kama kuna mtu anabishi naomba email yako nikuonyeshe documents za magari walioniagizia kwa bei ya kishikaji Hilux na Civilian ni waaminifu sana mwezi moja na week moja nilikua na gari langu la kwanza siwezi kuwasema vibaya redio nikitu kidogo sana kwenye gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.