Majambazi mwaka huu mtapata tabu sana kwenye uporaji wa mali mmedhibitiwa sasa mnapora ardhi, serikali ya awamu ya tano haitawaacha salama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ni siku mbili baada ya kuwafurumisha wakulima eneo ni kubwa hapo ni upande wa juu mboga mboga zinalimwa upande wa bondeni kwenye maji. Kontena la Dotto Masawani iliwekwa Jumamosi saa tisa jioni
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.